Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,083
Kwa wale wafanyabiashara wa mazao hasa mpunga, naomba tujuzane bei ya mpunga ili tunaopenda kusteki nafaka tujipange kisaikolojia.
Huku niliko, pwani ya kusini Lindi, Mtwra na Tunduru(Ruvuma) bei ni kati ya 8,500/- hadi 12,000/- kwa debe.
Vipi Kilombero, Kyela na kwingineko bei zikoje?
Huku niliko, pwani ya kusini Lindi, Mtwra na Tunduru(Ruvuma) bei ni kati ya 8,500/- hadi 12,000/- kwa debe.
Vipi Kilombero, Kyela na kwingineko bei zikoje?