Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
Ooh ok asante kwa kunifahamishaInasemekana sio waaminifu kama wajapani, so gari zao kadhaa hazina ubora. Wanacover hayo madudu na body nzuri (au mwonekano).
Ooh ok asante kwa kunifahamishaInasemekana sio waaminifu kama wajapani, so gari zao kadhaa hazina ubora. Wanacover hayo madudu na body nzuri (au mwonekano).
Sure.Wewe ni mmoja wa wachache waliobahatika. Ipo siku utaelewa kwanini watu wanatoa angalizo na magari ya Singapore.
Vp unande kwa gari za south kaka pick up mf.hulux ziko nyingi na bei nzuri tofauti na japan, singapore na Thailand.Wewe ni mmoja wa wachache waliobahatika. Ipo siku utaelewa kwanini watu wanatoa angalizo na magari ya Singapore.
SA sina uzoefu nao.Vp unande kwa gari za south kaka pick up mf.hulux ziko nyingi na bei nzuri tofauti na japan, singapore na Thailand.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Uzuri wa SA unaweza kuchukua mwewe chap ukaenda kununua gari then ukarudi nayo mdogo mdogo!Vp unande kwa gari za south kaka pick up mf.hulux ziko nyingi na bei nzuri tofauti na japan, singapore na Thailand.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Vipi kupitishwa rough road inastahimili au ni kwa ajili ya lami tu?Volvo ni gari ngumu sana. XC60 ina sifa zote za Volvo. Kuna engine maarufu mbili T5 na T6
Hapa itategemea na kiwango chako cha kutunza gari!Nauliza hili kwa kuwa shughuli zangu nyingi napita mashambani ambako barabara ni changamoto kubwa