Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Hamjanisaidia jamani!
ni waongo sana. Kati ya maneno matatu atayoongea mawili na nusu ni ya uongo.
Hamjanisaidia jamani!
Hamjanisaidia jamani!
Naomba mnishauri nimempata mchumba wa kipogoro,hivi wanaume wa kabila hili wana sifa gani?
Acha mambo ya ukabila wewe
Kwa hiyo ukimaliza ukabila
Utakuja dini yake
Halafu sura
Then rangi,
Then umbo
Then Elimu
Then mrefu au mfupi
Halafu nini tena kinafata?????
1.ngoja nikupe ile roho yako inapenda.
2. Hawa jamaa wanajua kupenda, wanajali na wanatunza.
3.kwa ajili ya upole wao wengi hawaoi kwao maana dada zao kidogo dakika tano mbele.
4.mambo ya kiushirikina wanayajua,haswa iwapo amekulia kule nyumbani na hashiki dini yoyote. Basi saluni atakuwa anapajua.
5.anyway,generaly they are good.umelamba dume.
Ukweli uko sahihi sana ,Ila ungetumia wanaume wanaotoka katika sehemu za Ulanga kwa ujumla wake wana sifa nyingi zinazofanana;
1.Wanapenda sana kujisifia
2.Hawana maamuzi siku zote
3.Wapiga domo kaya sana
4.Wanaendekeza ushirikina kwa kwenda mbele
5.Ni wajuzi wa kukosoa lakini siyo wataalamu wa kujenga
6.Ukabila na udini mbele
7.Hawathamini walikotoka ni walowezi mara nyingi
8.Hawapendi maendeleo
9.Womaniser kwa sana
10.Hawasemi ukweli sana
Ukweli uko sahihi sana ,Ila ungetumia wanaume wanaotoka katika sehemu za Ulanga kwa ujumla wake wana sifa nyingi zinazofanana;
1.Wanapenda sana kujisifia
2.Hawana maamuzi siku zote
3.Wapiga domo kaya sana
4.Wanaendekeza ushirikina kwa kwenda mbele
5.Ni wajuzi wa kukosoa lakini siyo wataalamu wa kujenga
6.Ukabila na udini mbele
7.Hawathamini walikotoka ni walowezi mara nyingi
8.Hawapendi maendeleo
9.Womaniser kwa sana
10.Hawasemi ukweli sana
This is crap!
Hizo data zinatokana na tafiti ipi uliyofanya? au ndo yale yale ya kupiga domu tu kama ufanyavyo
1.Wanapenda sana kujisifia - kupita wahaya au?
2.Hawana maamuzi siku zote - katika lipi?
3.Wapiga domo kaya sana - kuliko wazaramu?
4.Wanaendekeza ushirikina kwa kwenda mbele - shehe Yahaya mpogoro?
5.Ni wajuzi wa kukosoa lakini siyo wataalamu wa kujenga - kama wewe?
6.Ukabila na udini mbele - Kuliko wachaga ana wahaya? Dini gani unayoizungumzia?
7.Hawathamini walikotoka ni walowezi mara nyingi - katika bongo ya leo ni kabila gani siyo walowezi??????????
8.Hawapendi maendeleo - in what sense? what is development?
U still have a long way to go
9.Womaniser kwa sana
10.Hawasemi ukweli sana
Hapo nina mashaka maana sijawahi kuona mtani wangu aliyeacha asili yake hata kama amezaliwa na kukulia Japan..:lol::lol:
i see pole!ukimchunguza kuku utashindwa kumla
Hizo bluu hizoooooooo umefanya utafiti gani mkuu mpaka ukapata hayo matokeo
Naomba mnishauri nimempata mchumba wa kipogoro,hivi wanaume wa kabila hili wana sifa gani?
hizi sifa zaweza kuwa kweli.1.ngoja nikupe ile roho yako inapenda.
2. Hawa jamaa wanajua kupenda, wanajali na wanatunza.
3.kwa ajili ya upole wao wengi hawaoi kwao maana dada zao kidogo dakika tano mbele.
5.anyway,generaly they are good.umelamba dume.
Kumbe ndo ulikuwa unataka kujua sifa hizi?? ungekuwa muwazi mapemahuyu wa kwangu hana.labda aanze badae.