Naomba serikali itukumbuke na kutuzingatia. Ni mwalimu wa kujitolea nafundisha shule ya sekondari. Huu ni mwaka wa Tano naingia tangu nilipoanza kufundisha kwa kujitolea.
Natembea kilometa 10 natumia masaa mawili kwenda na mawili kurudi Kila siku. Nafanya hivyo kwa kuwa naipenda kazi yangu. Nimeoa na nina familia.
Majukumu yamekuwa mengi hadi inafika kipindi nawaza kuacha kufundisha nikomae na kuipambania familia ipate mahitaji ya msingi ila nafsi inataka zaidi niendelee kufundisha. Naomba serikali initazame kwa jicho la tatu.
Natembea kilometa 10 natumia masaa mawili kwenda na mawili kurudi Kila siku. Nafanya hivyo kwa kuwa naipenda kazi yangu. Nimeoa na nina familia.
Majukumu yamekuwa mengi hadi inafika kipindi nawaza kuacha kufundisha nikomae na kuipambania familia ipate mahitaji ya msingi ila nafsi inataka zaidi niendelee kufundisha. Naomba serikali initazame kwa jicho la tatu.