Naomba sana mnisaidie

Naomba sana mnisaidie

Mahunguchila

Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
74
Reaction score
34
Nipo katika mgogoro mkubwa katika mahusiano yangu na NINAOMBA wana MMU mnisaidie. Nisingependa kuueleza hapa kwa sababu mhusika pia ni member humu. Tafadhali mnisaidie nim PM nani na nani ambao wanaweza kunisaidia katika shida yangu hii! Sio active member sana humu ila ninaamini wapo watu wazima wenye busara wanaweza kunisaidia kutatua tatizo langu. Ninao ndugu jamaa na marafiki lakini nisingependa kuwashirikisha wao.

Nawasilisha.
 
Nipo katika mgogoro mkubwa katika mahusiano yangu na NINAOMBA wana MMU mnisaidie. Nisingependa kuueleza hapa kwa sababu mhusika pia ni member humu. Tafadhali mnisaidie nim PM nani na nani ambao wanaweza kunisaidia katika shida yangu hii! Sio active member sana humu ila ninaamini wapo watu wazima wenye busara wanaweza kunisaidia kutatua tatizo langu. Ninao ndugu jamaa na marafiki lakini nisingependa kuwashirikisha wao.

Nawasilisha.

Pole sana.kwakweli nina busara sana,mtaa mzima mimi ndio mshauri wao.wewe dume au jike? haya ni pm nikushauri.
 
Pole

Yaweke hapa ili nae achanhie hisia zake

Uyapaja jibu

Maana hata huu uzi keshausoma
 
mpe mtu mkasa wako huko pm aaanzishe uzi kwa niaba yako upate mawazo ya wengi
maana penye wengi hapaharibiki neno
miss neddy unge m pm afu afanye hivyo kama muhusika anasoma sasa si atajuaaaa huu mchezo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom