hahaha ndoa imemshinda mwezi tuu!
Aibu kwake,na alivyoitangazaga kwa bwebwe!sasa chaliiiii
hahaha ndoa imemshinda mwezi tuu!
hahaha ndoa imemshinda mwezi tuu!
Aibu kwake,na alivyoitangazaga kwa bwebwe!sasa chaliiiii
Pole sana.kwakweli nina busara sana,mtaa mzima mimi ndio mshauri wao.wewe dume au jike? haya ni pm nikushauri.
mmh! washauri wapo,ila ukim~MP huyu atakuongezea matatizo kiukweli!!.
Unataka utumie fursa nini?? Na wewe ni she or he?
Nipo katika mgogoro mkubwa katika mahusiano yangu na NINAOMBA wana MMU mnisaidie. Nisingependa kuueleza hapa kwa sababu mhusika pia ni member humu. Tafadhali mnisaidie nim PM nani na nani ambao wanaweza kunisaidia katika shida yangu hii! Sio active member sana humu ila ninaamini wapo watu wazima wenye busara wanaweza kunisaidia kutatua tatizo langu. Ninao ndugu jamaa na marafiki lakini nisingependa kuwashirikisha wao.
Nawasilisha.
Mi sichukuliagi serious kesi za hapa, ningemzingua tuhata wewe ungeweza msaidia
Nipo katika mgogoro mkubwa katika mahusiano yangu na NINAOMBA wana MMU mnisaidie. Nisingependa kuueleza hapa kwa sababu mhusika pia ni member humu. Tafadhali mnisaidie nim PM nani na nani ambao wanaweza kunisaidia katika shida yangu hii! Sio active member sana humu ila ninaamini wapo watu wazima wenye busara wanaweza kunisaidia kutatua tatizo langu. Ninao ndugu jamaa na marafiki lakini nisingependa kuwashirikisha wao.
Nawasilisha.