Ukanda wa pwani hakuna wanawake wenye mizigo ya maana..wengi ni flat skrini na matipwatipwa tu.Kati Yao yupo bikra?
Mwenye tako je ++
?
Ata tukushauri vip Najua mwsho wa siku utamuoa mwenye matako makubwa tuu
Mnatuonea jamani siku hizi Dar vigodoro wamejaa hadi watu wabara.Hapo rashid kaoneka umeyakanyaga..hao wote ni mwendo wa vigodoro.
#MaendeleoHayanaChama
Umesema mengi kuhusu ujasiri na uthubutu wa chinga , ila umesahau kuwa jamaa anataka mke .Mi nashauri oa mmakonde kwa ajili ya kizazi kipambanaji, jasiri na kisichokata tamaa hapo baadae. Niamini, wamakonde wengi wamekosa elimu na exposure tu (sababu za kihistoria na ukoloni) lakini nakuambia ni watu wenye asili ya mapambano sana na uhangaikaji ndo maana hukosi kuwakuta kwenye kila fursa. Pia wana asili ya ujasiri sana (sio waoga), ndo maana kule kwao simba mharibifu (hata awe zaidi ya mmoja) huwa anazungukwa na kuuliwa na wao wenyewe live. Si wamasai tu wanaoua simba, kuna wamakonde pia ingawa hawasemwi.
Ukipata mke wa kimakonde, ukaenda nae kwa maisha unayoyaongoza wewe kama mume (uliyeelimika, mwenye maono na mchapakazi), watoto ukawawekea msingi bora......nakuapia utakuwa na kizazi kimoja bright hautoamini.
Ukumbusho, wamakonde wana asili ya sanaa pia........
Kaulize tena vizuri alokusimulia kakuingiza chaka mkuu Wamakonde hawana Msondo wala Mkomange wao wanacho kitu kinaitwa Chiputu kwa watoto wadogo wa kike Huo (Mkomange) Usahihi ni Mkomango wanao wamakua au Wamwera kama sijakosea na Chiputu hakiathiri tabia kwa kuwa ni jambo wanalolifanya watoto wakiwa na umri wa miaka mi4 hadi 6 huwa hawafunzwi chochote kunako mambo ya kikubwaUmesema mengi kuhusu ujasiri na uthubutu wa chinga , ila umesahau kuwa jamaa anataka mke .
Wamakonde wana ngoma zao za kimila msondo na mkomange, mwanamke alitefundwa na ngoma hizi anakuwa mwanamke hatari sana kwenye tasnia ya ndoa , mosi anajiamini sana maana anakuwa anajua mapenzi , pili anakuwa na dharau sana maana ni rahisi sana kumteka mwanaume yoyote timamu, na tatu huwa hawatuliii
Sishauri makonde kwa lengo la ndoa , ila kama lengo ni kukidhi sexual fantacies, wako vizuri sana .
Uko sahihi mkuu.Kaulize tena vizuri alokusimulia kakuingiza chaka mkuu Wamakonde hawana Msondo wala Mkomange wao wanacho kitu kinaitwa Chiputu kwa watoto wadogo wa kike Huo (Mkomange) Usahihi ni Mkomango wanao wamakua au Wamwera kama sijakosea na Chiputu hakiathiri tabia kwa kuwa ni jambo wanalolifanya watoto wakiwa na umri wa miaka mi4 hadi 6 huwa hawafunzwi chochote kunako mambo ya kikubwa
Sema huwa mna viuno vimebinuka na nyonga laini sana.Mnatuonea jamani siku hizi Dar vigodoro wamejaa hadi watu wabara.
Unaweza ukawa sahihi sana , ila msondo na huo mkomango ndio ngoma za kimila zilizotawala mkoa wa mtwara,Kaulize tena vizuri alokusimulia kakuingiza chaka mkuu Wamakonde hawana Msondo wala Mkomange wao wanacho kitu kinaitwa Chiputu kwa watoto wadogo wa kike Huo (Mkomange) Usahihi ni Mkomango wanao wamakua au Wamwera kama sijakosea na Chiputu hakiathiri tabia kwa kuwa ni jambo wanalolifanya watoto wakiwa na umri wa miaka mi4 hadi 6 huwa hawafunzwi chochote kunako mambo ya kikubwa
Mi nimezubgumzia mke kiongozi,.....wa kujenga nae familia. Hizo habari zingine hizo yakupasa kuwa makini kweli kuzisikiliza; kama hujaishi na wamakonde, unaweza kuogopa hata kuwasalimia. Ukweli ni 2% na uzushi ni 98%Umesema mengi kuhusu ujasiri na uthubutu wa chinga , ila umesahau kuwa jamaa anataka mke .
Wamakonde wana ngoma zao za kimila msondo na mkomange, mwanamke alitefundwa na ngoma hizi anakuwa mwanamke hatari sana kwenye tasnia ya ndoa , mosi anajiamini sana maana anakuwa anajua mapenzi , pili anakuwa na dharau sana maana ni rahisi sana kumteka mwanaume yoyote timamu, na tatu huwa hawatuliii
Sishauri makonde kwa lengo la ndoa , ila kama lengo ni kukidhi sexual fantacies, wako vizuri sana .
Hata hayo machakula ya kichina siyo wamakonde wote wenye kutumia.....sana sana ni ile jamii inayotambulika km wamawia (wana asili ya msumbiji) na hata huko kwa wamakonde wenyewe huwa wanakawaida ya kujitenga kabisaa. Isitoshe siku hz desturi hizo zimeondoka kwa kasi sana!Umenena kweli tupu mkuu, nilichogundua unajua kuhusu historia, ukiondoa masuala ya kula mapanya, vyura, nyoka na madubwasha mengine ya porini kwenye mawindo yao wamakonde ni majasiri alafu wana asili ya ubishi, hio ni kwa wote sio wanawake sio wanaume, sasa wamatengo ni kinyume chake ndio maana nikasema akimpata mwanamke aliechanganyika na jamii hizo mbili anakua ameokota dodo chini ya mstimu,
Kkmmk tuko wengi,nina mzigo natamani Hadi kuukopesha kama CR7,haukopesheki,watoto kaharibu na ni mwanga piaKuna ndugu yangu aliyakanyaga alioa kabila la akina Kikwete hawa sijui ndio wakwere. Ndugu yangu mhaya wa kwetu sijui alizuzuka na ule weupe. Mwanamke umbwa kabisa kamharibia watoto. Hajui malezi, hajui kujishughulisha, she is a waste yule mbwa na zaidi naona akamroga ndugu yetu.
Ngoma za wamakonde ni Nganga, Nsakata, Msondo, Likuti, Mikoli, Nakudunda, Mapiku, Mangoti, Singenge, Ntengu, Nkala na SindimbaWamakonde wana ngoma zao za kimila msondo na mkomange
wewe unadai unataka mwanamke wa pwani (pembezoni mwa bahari), lakini inaonekana hata makabila ya pwani huyajui! vizuri.Kwenye mada straight wadau nataka kuchagua kuvuta jiko hitajika la kuishi nalo nataka mtoto wa pwani nshapata inbox kama 50 chuguo langu nataka chombo Cha pwani,kwenye sampuli kuna wafuatao.
1. Mluguru
2. Mkwere
3.Msagara
4.Mzigua
5. Mzaramo
6.Msambaa
7.Mbondei
8. Mdigo
9. Mjikenda
10. Mkunya
11. Mdengereko
12. Mwera
13. Myao
14. Mmakua
15. Mmakonde.
Binafsi katika upambanaji wangu nimempa namba 1 Myao, 2,Mkwere, 3. Mjikenda.
Naomba tathimini yenu nifanye final
Ruksa kufanya ranking mpya
Karibuni
Mimi ni mchanganyiko wa wa Mhaya na Mnyiha ( Baba Mhaya, mama mnyiha)
Karibuni.
Wewe unafikiri kwa nini Kikwete hakuoa kwao! Sasa wewe unaenda kuvamia tu.Kuna ndugu yangu aliyakanyaga alioa kabila la akina Kikwete hawa sijui ndio wakwere. Ndugu yangu mhaya wa kwetu sijui alizuzuka na ule weupe. Mwanamke umbwa kabisa kamharibia watoto. Hajui malezi, hajui kujishughulisha, she is a waste yule mbwa na zaidi naona akamroga ndugu yetu.
Sio mimi ni ndugu yangu.Wewe unafikiri kwa nini Kikwete hakuoa kwao! Sasa wewe unaenda kuvamia tu.
Anko wangu kaoa mdengereko 😂😂 habari anayo! Sema maisha yanasonga coz mwanaume ni mpole mno.Sijamaanisha kutafuta rizki. Labda sikutumia Kiswahili kizuri. Namaanisha hawajibiki hajigusi ndani ya nyumba. Ni vivu, mharibifu, mfujaji, mshenzi, roho roho mbaya n.k