Kipenzi Chao
Member
- Oct 12, 2010
- 99
- 4
Kila nikipita mitaani nawaona wadada wakiwa wamevaa mikufu miguuni...! Lakini mikufu hii kuna staili za aina tatu nimepata kuziona, nazo ni;
- Mkufu unaovaliwa mguu wa kulia pekee
- Mkufu unaovaliwa mguu wa kushoto pekee
- Mkufu unaovaliwa miguu yote