Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,156
- 159,077
Njoo nikutie makwenzi itafutika.namba yake ya simu nitaifutaje wakati ipo kichwani
au ni reboot kichwa?
Njoo nikutie makwenzi itafutika.namba yake ya simu nitaifutaje wakati ipo kichwani
au ni reboot kichwa?
Hehehehehehe hii strategy ni kiboko, inaitwa "Double Impact"huwa naacha sababu ukitaka kuniacha nakuweka karibu mpaka ukolee halafu nakubutua itsover ya moto moto hasa nikijua kuna demu ndiye anayekufanya uniache nahakikisha kule kunasua sua ndiyo nakuwaka yani hapo nakuwaga na amani balaaa hasa napo kuona unajiuliza kwani umekosea nini huku ukiwa umeshahu wakati unanitafutia sababu ya kunimwaga teh nawapatiaga wanaume mpaka raha ,, nasirudii matapishi umeende nenda kafie mbele huko
NB: unapokuwa kwenye mahusiano hakikisha unajua udhaifu wake huo ndiyo mzuri kumshikilia nao .. usipojua huwezi kufanya nayo fanya mimi
Shemeji.Hivi baada ya ile mishe tulikubaliana tunaitanaje. Kaka na dada au shemeji?
Nina undugu gani na mo hadi nikuite shemejiShemeji.
Kumbe kumuita mtu shemeji hadi muwe ndugu!! Sikulijua hilo.Nina undugu gani na mo hadi nikuite shemeji
Itabidi nirudi shule kwa hali hiyo...Kumbe kumuita mtu shemeji hadi muwe ndugu!! Sikulijua hilo.
Na kwani kuitana kaka na dada kwani sisi ndugu?
Basi tuitane 'mwananchi'.Itabidi nirudi shule kwa hali hiyo...
Au mo alikuambia mimi rafiki yake!
Mwisho wa reli mbali ningekuita jirani
Hawa hawa wanaotawaliwa na Mr bashite eeehBasi tuitane 'mwananchi'.
na inauma balaaaHehehehehehe hii strategy ni kiboko, inaitwa "Double Impact"