kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,694
- 2,132
Naomba muongozo nataka kwenda china kuchukua mzigo wa Jeans, bajeti yangu nina million 5 tu. Ntafaanikiwa? kwa wenye uzoefu naomba msaada wenu Tafadhali.
nauli humo umo, afu hata sijui nauli sh ngapi!!Milioni 5 mbali na nauli au?
Umemjibu vzr sna.chakuongeaze..m5 sawa dola 2500 aitoshi kufanya chchte.Ingia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
Fanya kuagizaJeans, bajeti yangu nina million 5 tu. Ntafaanikiwa?
Umemjibu vzr sna.chakuongeaze..m5 sawa dola 2500 aitoshi kufanya chchte.
Eeeehh baada ya uzi ukaamua ukamatie nafasiNaomba muongozo, nataka kwenda china kufuata jeans. Nina bajeti ya million 5 Je nitafaanikiwa? Kwa wenye uzoefu naomba msaada wenu Tafadhali.
Ila Kamanda haupo seriousnauli humo umo, afu hata sijui nauli sh ngapi!!
nashukuru, kuhusu kuuzia wapi tayari nina duka mkoa, kwa mwezi huwa nauza si chini ya PC 70, kwa ujumla nikichanganya na T-shirt na pullover huwa nauza si chini ya PC 200 kwa mwezi.Kweli atengeneze platform aanze kuuza online huku anakuza mtaji..
Hizo jeans utaziuzia wapi !? Aje kujibu kama ana ofisi tayari
Asante mkuu.Ingia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
Umeonesha mwangaIngia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
nawapataje mkuuWatakusaidia kila kitu
search instagram kuna mmoja anaitwa faiza ally ni agent pia kuwanunulia watu vitu kutoka chinanawapataje mkuu
Asantesearch instagram kuna mmoja anaitwa faiza ally ni agent pia kuwanunulia watu vitu kutoka china