Naomba muongozo nataka kwenda China

kinjumbi one

JF-Expert Member
May 27, 2015
1,694
2,132
Naomba muongozo nataka kwenda china kuchukua mzigo wa Jeans, bajeti yangu nina million 5 tu. Ntafaanikiwa? kwa wenye uzoefu naomba msaada wenu Tafadhali.
 
Ingia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
 
Ingia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
Umemjibu vzr sna.chakuongeaze..m5 sawa dola 2500 aitoshi kufanya chchte.
 
Kweli atengeneze platform aanze kuuza online huku anakuza mtaji..
Hizo jeans utaziuzia wapi !? Aje kujibu kama ana ofisi tayari
nashukuru, kuhusu kuuzia wapi tayari nina duka mkoa, kwa mwezi huwa nauza si chini ya PC 70, kwa ujumla nikichanganya na T-shirt na pullover huwa nauza si chini ya PC 200 kwa mwezi.
 
Ingia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
Asante mkuu.
 
Ingia Google angalia nauli za ndege si chini ya million 2.nauli,kula,hotel,Visa.
Jean's ukitaka upate kwa bei cheee lazima ununue kuanzia peace 100 kwa kila sample.
Hiyo pesa ni nyingi mkuu lakini haitoshi,mtafute mtu aliye china muagize mzigo,au nenda kariakoo kwa wale wafanya biashara wanaoenda china ongea naye vizuri mpe sample unazozitaka atakuletea.
Ikifikia 10 na kuendelea uanze kwenda mwenyewe
Umeonesha mwanga
 
Back
Top Bottom