Habari zenu wana jamvi naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuanzisha APP ya wafanya biashara kama vile kupatana.com naomba kujua jinsi ya kuendesha hiyo app na pia naomba kujua ni faida gani mmiliki atazipata na ni njia zipi ambazo mmiliki anatakiwa azitumie ili kujipatia faida kupitia hiyo app yake na pia ningependa kujua kama kuna umuhimu wa kufungua ofisi.
Wajuzi wa haya mambo naombeni msaada wenu wakuu
Naomba mawasiliano yako mkuuHii kampuni ipo bongo inatengeneza App kwa corporates $ 2,000 kwa raia wa kawaida $ 1,000 wachek info@trulovmedia.com wapo fair sanaaaa na ni washkaj wadogo tu. Unapata App yoyote unayotaka hadi clones.
Faida ni kama zifuatazo;
1. Inaweza ikapendwa na watu so wakapanda dau ukaiuza pesa yoyote unayotaka the more users the more gharama yake.
2. Kama ni ya mfano wa kupatana unaweza pata hela kwa kuwacharge watumiaji wako kila mwezi labda pesa flan.(on registration and subscription fee).
3. Njia nyingine common ni through admob yani ni yale matangazo yanatokea kwa chini katika Apps nyingi na mengine yana Pop up. Yanalipa saaannaaaaa kama unakuwa na user wengi. Hesabu yake ni ukiwa na Downloads 10,000 basi kila mwezi unaingiza wastani wa 500,000 imagine imebamba una downloads 100,000 maana yake average ya million 5 revenue monthly.
4. Through sponsorship, wadau watakufata mfano coca au voda watataka kuweka matangazo yao hapa ni makubaliano tu unaweza ukavuta pesa mingi pia.
5.Ya mwisho ni InApp purchase maana yake unakua na App flan inapatikana bure tu lakini ukiitumia kuna content huwezi access hadi ulipie mfano app ya wema sepetu na games maarufu kama candy crush saga inakutaka ununue michezo (life) kuendelea kucheza au kutumia. App zingine hapa moja kwa moja inakua inauzwa so mtu akinunua unapata mpunga.
For more details nichek nna blue prints za kutosha za jinsi ya kupiga hela kwa App. Mi zangu zipo jikoni nazisuka now zitakua released soon ambapo ndani ya mwaka natarajia kupiga kama milion 100+
Midnight now nimetype mtoni but i hope utapata tips kidogo. Karibu
Najipanga kuhusu hilo mkuu mana nataka niitangaze kwenye radio station mpk kwenye Tv nimeweka hiyo bajeti ndugu na pia ni kwa sababu nataka kuja na solution ya mapungufu yote yaliyopo kwenye kupatana.com na app nyingine unajua watanzania tunapenda sana kununua mtandaoni lakini hofu yetu ni kuibiwa pesa zetu na wale wauzaji sasa nataka niboreshe ili watu waweze kufanya biashara kwa kuaminiana ili hata ikatokea kuwa mtu amedhurumiwa inakuwa rahisi kumpata yule tapeli au unasemaje kuhusu hilo mkuu?pia ipo website inaitwa codecanyon unaweza tembelea kuna script na ready made apps za eccomerce.
ila mkuu kuwa makini tu, kutengeneza eccomerce au website yoyote sio kazi, kazi ni kuitangaza, kuimanage hadi iwe maarufu na kuanza kukuingizia faida.
kama hujui utapata wapi watembeleaji au huna budget ya kutosha kuipa promo ujue uwezekano wa kufeli ni mkubwa.
idea nzuri,Najipanga kuhusu hilo mkuu mana nataka niitangaze kwenye radio station mpk kwenye Tv nimeweka hiyo bajeti ndugu na pia ni kwa sababu nataka kuja na solution ya mapungufu yote yaliyopo kwenye kupatana.com na app nyingine unajua watanzania tunapenda sana kununua mtandaoni lakini hofu yetu ni kuibiwa pesa zetu na wale wauzaji sasa nataka niboreshe ili watu waweze kufanya biashara kwa kuaminiana ili hata ikatokea kuwa mtu amedhurumiwa inakuwa rahisi kumpata yule tapeli au unasemaje kuhusu hilo mkuu?
kama umeshaingia site kama amazon utaona makampuni makubwa yanauza vitu vyao mule ndani, unakuta simu ya Iphone na muuzaji ni Apple mwenyewe na ukinunua unapata na warranty.Makampuni kama yapi mkuu nifafanulie kidogo hapo?
Hapo nimekupata mkuu lakini mpk kupata partnership kwanza ni lazma site yangu iwe ni kubwa yani kwamba ni site ambayo ina wateja wengi ndipo niandike proposal ya kuomba partnership si ndio mkuu?kama umeshaingia site kama amazon utaona makampuni makubwa yanauza vitu vyao mule ndani, unakuta simu ya Iphone na muuzaji ni Apple mwenyewe na ukinunua unapata na warranty.
hivyo hapa Tanzania badala ya mtu kwenda Duka la samsung mjini anaweza akaingia kwenye site yako na kuperuzi bidhaa zote za samsung na kuchagua anayotaka.
sema itahitaji uwe na kampuni ya usafirishaji au uingie patnership na mtu ili aweze ku deliver hizo bidhaa.
jumia walianza wakiwa na patnership, sema wao walikuwa nchi nyengine muda mrefu, na pia Tanzania walikuwa na patnership na Tigo, iliwasaidia.Hapo nimekupata mkuu lakini mpk kupata partnership kwanza ni lazma site yangu iwe ni kubwa yani kwamba ni site ambayo ina wateja wengi ndipo niandike proposal ya kuomba partnership si ndio mkuu?
Sawa mkuu nimekupata mpk hapo labda nikumegee idea yangu kidogo ni kwamba mimi ninachowaza ni hivi mtu yoyote anaejisajiri kwenye hiyo site ili kuuza bidhaa zake ni lazma ajaze taarifa zake muhimu kama ni mtu mwenye duka atajaza taarifa za biashara yake kama vile tin number na taarifa za kitambulisho chake chochote kama ni kitambulisho cha mpiga kura au leseni au hata pass ya kusafiria chochote kati ya hivyo halafu anajaza na location ya biashara yake ilipo na pia kama ni mtu binafsi basi atajaza taarifa zake za kwenye kitambulisho na location aliyopo then nampa ID ya account yake ili kupitia taarifa hizo endapo akafanya utapeli wa dizaini yoyote mteja atapiga simu kwangu na atanipa taarifa na ID ya muuzaji then anatafutwa huyo mtu ila mteja ni lazma ahakikishe kuwa ana vithibitisho vya muamala alioufanya baina yake na muuzaji hapo unasemaje mkuu nitafanikiwa au?jumia walianza wakiwa na patnership, sema wao walikuwa nchi nyengine muda mrefu, na pia Tanzania walikuwa na patnership na Tigo, iliwasaidia.
sio lazima uanze na hayo makampuni makubwa mwanzo, cha muhimu hakikisha tu unaieka site mahala pazuri na iwe na traffic ya kutosha.
ukilimit sana mwanzo itakuwa ngumu kupata watu watakaotangaza kwenye site yako, labda ueke sehemu mbili moja ya wauzaji ambao ni verified na nyengine ambayo sio verified (kama amazon), pia unaweza eka mfumo wa ratings kama ebay, muuzaji akikuuzia mteja unarate ile huduma aliokupa.Sawa mkuu nimekupata mpk hapo labda nikumegee idea yangu kidogo ni kwamba mimi ninachowaza ni hivi mtu yoyote anaejisajiri kwenye hiyo site ili kuuza bidhaa zake ni lazma ajaze taarifa zake muhimu kama ni mtu mwenye duka atajaza taarifa za biashara yake kama vile tin number na taarifa za kitambulisho chake chochote kama ni kitambulisho cha mpiga kura au leseni au hata pass ya kusafiria chochote kati ya hivyo halafu anajaza na location ya biashara yake ilipo na pia kama ni mtu binafsi basi atajaza taarifa zake za kwenye kitambulisho na location aliyopo then nampa ID ya account yake ili kupitia taarifa hizo endapo akafanya utapeli wa dizaini yoyote mteja atapiga simu kwangu na atanipa taarifa na ID ya muuzaji then anatafutwa huyo mtu ila mteja ni lazma ahakikishe kuwa ana vithibitisho vya muamala alioufanya baina yake na muuzaji hapo unasemaje mkuu nitafanikiwa au?
Sawa mkuu nimekupata nitaufanyia kazi ushauri wako mkuu na je ninaweza kutumia njia gani ili kutoza watumiaji wa App yangu ili na mimi nipate kunufaika?ukilimit sana mwanzo itakuwa ngumu kupata watu watakaotangaza kwenye site yako, labda ueke sehemu mbili moja ya wauzaji ambao ni verified na nyengine ambayo sio verified (kama amazon), pia unaweza eka mfumo wa ratings kama ebay, muuzaji akikuuzia mteja unarate ile huduma aliokupa.
njia iliozoeleka ya kawaida ni matangazo, ila pia unaweza ukaweka premium kwa wote wauzaji na wanunuaji,Sawa mkuu nimekupata nitaufanyia kazi ushauri wako mkuu na je ninaweza kutumia njia gani ili kutoza watumiaji wa App yangu ili na mimi nipate kunufaika?
Hapo nimekupata mkuu lakini mpk kupata partnership kwanza ni lazma site yangu iwe ni kubwa yani kwamba ni site ambayo ina wateja wengi ndipo niandike proposal ya kuomba partnership si ndio mkuu?
Sawa mkuu nimekupata mpk hapo labda nikumegee idea yangu kidogo ni kwamba mimi ninachowaza ni hivi mtu yoyote anaejisajiri kwenye hiyo site ili kuuza bidhaa zake ni lazma ajaze taarifa zake muhimu kama ni mtu mwenye duka atajaza taarifa za biashara yake kama vile tin number na taarifa za kitambulisho chake chochote kama ni kitambulisho cha mpiga kura au leseni au hata pass ya kusafiria chochote kati ya hivyo halafu anajaza na location ya biashara yake ilipo na pia kama ni mtu binafsi basi atajaza taarifa zake za kwenye kitambulisho na location aliyopo then nampa ID ya account yake ili kupitia taarifa hizo endapo akafanya utapeli wa dizaini yoyote mteja atapiga simu kwangu na atanipa taarifa na ID ya muuzaji then anatafutwa huyo mtu ila mteja ni lazma ahakikishe kuwa ana vithibitisho vya muamala alioufanya baina yake na muuzaji hapo unasemaje mkuu nitafanikiwa au?
Sawa ndugu yangu nimekupata mkuu naomba namba yako ya whatsapp Pm mkuuUkiwa tayari naweza kusaidia kutimiza hii ndoto yako. Ntakupatia App na all ways za kutengenezea hela + success and failures reports. This is a real paying business. Needs full commitment, discipline and money. Ni kucheza na namba na pesa tu akili kichwani na utafanikiwa.
Sawa ndugu yangu nimekupata mkuu naomba namba yako ya whatsapp Pm mkuu