Naomba msicheke tafadhali: Mambo ya KITAAA.....!!!!

Naomba msicheke tafadhali: Mambo ya KITAAA.....!!!!

Huyo wa mwisho kama si michael jackson basi criss brown kwenye ile wimbo thriller anavocheza hahahahhahahahaa
Aisee umepatia binamu maana naukumbuka ule wimbo....

Jamaa nadhani alikuwa anamugilizia Chris Brown na si Michael Jackson...
Una kumbukumbu binamu, nakuvulia barghashia wallah......
 
Na mie sikaribishwi hiyo kawaha hapa ndo asili yake bhana acha uchoyo....nipo sana tu ila nlikua busy mana nimehamisha makazi
Karibu kwa mikono miwili japo kahawa yenyewe kiduchu.......

Umehamia jukwaa gani..?

Lile la Kimbweka la kule chini...?

Au nimeelewa vibaya, hukumaanisha umehama jukwaa la hapa JF...?
 
Last edited by a moderator:
Bi shosti nimekuja hahahahaja sasa huyo alovaa soksi mikononi hicho aloweka mguuni ni nini?
Naomba nitoboe siri, huyo jamaa ni Bujibuji, niliifuma hii picha kwenye gari lake alipokuja Leo tupo hapa Pub....
 
Last edited by a moderator:
Aisee umepatia binamu maana naukumbuka ule wimbo....

Jamaa nadhani alikuwa anamugilizia Chris Brown na si Michael Jackson...
Una kumbukumbu binamu, nakuvulia barghashia wallah......

Hahahahahaha me ni mpnz wa michael jackson ma wanafunzi wake chriss na usher
 
Karibu kwa mikono miwili japo kahawa yenyewe kiduchu.......

Umehamia jukwaa gani..?

Lile la Kimbweka la kule chini...?

Au nimeelewa vibaya, hukumaanisha umehama jukwaa la hapa JF...?

Nimehama makazi nlokua naishi awali bhana nawe kama kiswahili huelewi lol
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Jamani sasa si niko huku na lap top yangu...
Nilihifadhi madokomenti yangu humo..........

Haya mkuu Mtambuzi umeshinda!Lakini ninapenda unavyosimulia (uandishi) wako,hicho ni kipaji kiendeleze,unaweza kutunga vitabu vizuri sana na tamthiliya!Hongera
 
Last edited by a moderator:
Huyo jamaa wa mwisho atakuwa anapiga kitu cha Wako Jako......maana huo mkono ulipo mmmmhhhh
 
Back
Top Bottom