Naomba msicheke tafadhali: Mambo ya KITAAA.....!!!!

Naomba msicheke tafadhali: Mambo ya KITAAA.....!!!!

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,438
Malte-Wandel-Ghana7.jpg


Malte-Wandel-Ghana10.jpg


Malte-Wandel-Ghana9.jpg


Malte-Wandel-Ghana8.jpg



Malte-Wandel-Ghana6.jpg


Malte-Wandel-Ghana5.jpg


Malte-Wandel-Ghana4.jpg


Malte-Wandel-Ghana3.jpg


Malte-Wandel-Ghana2.jpg


Msije mkadhani hizi picha ni za mwaka 1947, mtakuwa mmekosea, hizi picha zimepigwa hivi karibuni.............
 
ya pili kutoka mwisho kweli ya juzi naona yebo ya mchina na wigi
 
Kamzidi micheal jackson huyo wa mwisho!
Halafu huyo wa sandles na soksi ameuaaaa!!
Kwenye picha ya nne amevaa soksi kwenye mikono?anawakilisha gloves uwiii...
Cc farkhina

Huyo uliomtaja nimem-miss kweli, yu wapi farkhina.....?
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda hiyo hapo chini ka michael Jackson ndani ya smooth criminal
 
Nimeipenda hiyo hapo chini ka michael Jackson ndani ya smooth criminal
Basi unge copy hiyo moja tun kuliko kubeba post yote, naomba kwa hisani yako u-edit picha uliyoipenda ili usiwachoshe wasomaji ku scroll down muda mrefu.... Sefet
 
Kamzidi micheal jackson huyo wa mwisho!
Halafu huyo wa sandles na soksi ameuaaaa!!Hata sijui alichezaje mpira?
Kwenye picha ya nne amevaa soksi kwenye mikono?anawakilisha gloves uwiii...
Cc farkhina

Japo tumeambiwa yusicheke hebu mie nsije kufa kwa kukibana hahaahahahhhhh me nimpenda aloshika jembe namn alivochomekea
 
Huyo wa mwisho kama si michael jackson basi criss brown kwenye ile wimbo thriller anavocheza hahahahhahahahaa
 
Malte-Wandel-Ghana4.jpg


Mtambuzi, ukitaka kuweka picha yangu unaniomba kibali mkuu.......
 
Last edited by a moderator:
Sorry nilikuwa najitengenezea kahawa....

Ulikuwa wapi binamu, maana kimya chako mh....!
Na mie sikaribishwi hiyo kawaha hapa ndo asili yake bhana acha uchoyo....nipo sana tu ila nlikua busy mana nimehamisha makazi
 
Back
Top Bottom