Naomba msaada

Naomba msaada

Duh!

Pole sana mwamba , ndio maisha tusichoke kupambana ningekusaidia ila mwenyewe Jobless bado na Kuna michongo nasikilizia sasa hivi kula Kulala nyumbani huku nikisoma ramani.

Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi , aamiyn.

#Usikate Tamaa na usivunjike moyo , kukata tamaa ni sawa na Kukubali kuwa wewe ni mfu na kuvunjika moyo ni kujitengenezea mazingira ya kufeli.
Shukran sana mkuu umenijenga
 
uvivu wa kulima unakimbilia mjini..... sikuhizi sio lazima kipaji kikutoe angalia pale unapoweza ingiza kipato ukisubiri hicho kipaji utakesha...... alafu mwanaume hakimbii familia au na ww baba yako alikimbia..... mke atatombwa na kaka yako na wanao wanaweza lawitiwa kisa uvivu wa kifikiri na uoga wa maisha .



usiwe mjinga rudi kapambanie pale ulipokulia ndipo utoke kujitafuta
 
uvivu wa kulima unakimbilia mjini..... sikuhizi sio lazima kipaji kikutoe angalia pale unapoweza ingiza kipato ukisubiri hicho kipaji utakesha...... alafu mwanaume hakimbii familia au na ww baba yako alikimbia..... mke atatombwa na kaka yako na wanao wanaweza lawitiwa kisa uvivu wa kifikiri na uoga wa maisha .



usiwe mjinga rudi kapambanie pale ulipokulia ndipo utoke kujitafuta
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom