Naomba msaada, Yahoo mail yangu haifunguki

Pazii

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
398
296
Msaada wadau. Najaribu kufungua email address yangu lakini nashindwa kwa sababu sina simcard niliyoitumia kuregister kwenye hii email address. Nikisign in, nafika sehem natakiwa kuingiza baadhi ya namba ya namba ya sim yangu ili nitumiwe code. Hii code ndio niitumie kwenye hatua ya mwisho ili email yangu ifunguke. Tatizo hii namba sinayo tena. Naombeni msaada nimehangaika sana na nashindwa kusoma email zangu ambazo ni muhim sana
 
Yahoo wapo secure sna. Km namba ya cm haitumiki yena hapo itabidi ukumbuke security question uliloulizwa wakat una craete account
 
Basi tena ndio imeshakula kwako hivyo mkuu kama umesahau namba na security question..
 
Tatizo hats security question hainiulizi. Inataka niweke namba ya sim ili initumie code for verfication. Hapa Tz hamna sehm mbapo yahoo wanatoa services?
 
Tatizo hats security question hainiulizi. Inataka niweke namba ya sim ili initumie code for verfication. Hapa Tz hamna sehm mbapo yahoo wanatoa services?
Mkuu Makampuni ya Mawasiliano hayana Wafanyakazi wengi Yahoo ina wafanyakazi 8,500 tuu Twitter 3,800, Facebook 17,000.
 
Back
Top Bottom