Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 813
Wakuu za asubh
!!!
Naomba msaada wa kitaalam, A/C yangu ya Yahoo inakataa kufunguka ila haitoei kama password au mail ni wrong no !! Ila kila nikiingiza mail na password inadai tena password na nikiingiza tena bado inadai password tu mpaka bas so naomba msaada hiki ni kitu gan? Nasolve vipi ili tatizo?
Naomba msaada wa kitaalam, A/C yangu ya Yahoo inakataa kufunguka ila haitoei kama password au mail ni wrong no !! Ila kila nikiingiza mail na password inadai tena password na nikiingiza tena bado inadai password tu mpaka bas so naomba msaada hiki ni kitu gan? Nasolve vipi ili tatizo?