naomba msaada wenu wakuu

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,493
3,453
Mwana Mama kuumwa tumbo kila anaponyonyesha au wakati mtoto akinyonya inasababishwa na nini? Nini dawa yake? au mama mtoto afanye nini ili tumbo lisiume?.
Asanteni sana.
 
Dubu, pole sana.
Natumaini sio tatizo la kisaikolojia zaidi manake sijui kama kuna conncetion... Ngoja wataalamu waje.
 
Dubu, pole sana.
Natumaini sio tatizo la kisaikolojia zaidi manake sijui kama kuna conncetion... Ngoja wataalamu waje.

Mama anaponyonyesha pia hormone inayoitwa oxytocin hutolewa na hii kazi take ni kufanya uterine contractions na hicho ndicho kinampa maumivu ya tumbo, anaweza kumeza panadol Kama maumivu ni makali sana otherwise ni pain ambayo inavumilika but if severe mpeleke kwa daktari
 
Mama anaponyonyesha pia hormone inayoitwa oxytocin hutolewa na hii kazi take ni kufanya uterine contractions na hicho ndicho kinampa maumivu ya tumbo, anaweza kumeza panadol Kama maumivu ni makali sana otherwise ni pain ambayo inavumilika but if severe mpeleke kwa daktari

mkuu kwanini iwe wakati wa kunyonyesha?. kama mtoto hanyonyi tumbo haliumi. halafu tumbo la mama linapo ume mtoto hua analia.
 
mkuu kwanini iwe wakati wa kunyonyesha?. kama mtoto hanyonyi tumbo haliumi. halafu tumbo la mama linapo ume mtoto hua analia.

Mkuu kunyonya ni reflex arc! Mtoto anapovuta chuchu it send reflex to the brain to release prolactin and oxytocin hormones. Sucking is what triggers let down reflex. Mtot kulia can be labda hashibi, hewa kujaa tumboni hakikisha good attachment ya mtoto kwa mama ikiwa ni kumpakata vizuri mama akae kwenye kiti, mgongo straight na amshike mtoto vizuri kwa mtoto kufuata chuchu na sio mama kuinama
 
Mkuu kunyonya ni reflex arc! Mtoto anapovuta chuchu it send reflex to the brain to release prolactin and oxytocin hormones. Sucking is what triggers let down reflex. Mtot kulia can be labda hashibi, hewa kujaa tumboni hakikisha good attachment ya mtoto kwa mama ikiwa ni kumpakata vizuri mama akae kwenye kiti, mgongo straight na amshike mtoto vizuri kwa mtoto kufuata chuchu na sio mama kuinama

ok asante. so hamda dawa ya kutuliza ? Panadol ashapewa.
 
ok asante. so hamda dawa ya kutuliza ? Panadol ashapewa.

Mkuu ushasikia kitu wazazi wetu wanaita chango? Am kitaalam inaitwa after pain. Ndo hiyo niliyoeleza and am afraid hakuna dawa to cure but to relief pain with analgesia. If pain is so much to bear unaweza kumpeleka hospitali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom