Naomba msaada wenu wa mawazo

Loudspeaker

Member
Feb 8, 2021
88
107
Mimi ni kijana wa miaka 28, nina wadogo zangu wawili wa kike. Mmoja anasoma China medicine na huyo wa pili anasoma uchumi university of Dar es salaam. Maisha yetu yote tumelelewa na single mom; mama yetu hakujaliwa uwezo wa kutosha kifedha japo ni mpambanaji sana.

Our school life imekuwa ya shida sana, kukimbizana na walimu kwaajili ya ada. Tumesoma kwa shida mno,,mimi binafsi nimeshindwa maliza chuo kwakukosa ada mwaka 2015. Tatizo kubwa kwa sasa lipo kwa hao wadogo zangu wawili, hasa huyo aliyepo China, hali yake mbaya sana kule na hali yetu kifedha imezidi kuwa duni. Chuo kafukuzwa mpaka alipe ada, tumeshindwa ata mlipia sehemu ya kukaa, na anaumwa sana. Yupo barabarani ana tangatanga, ana ugonjwa wa seizure. Sometimes inamshika barabarani na kudondoka.

Kuna kipindi seizure ilimshika bafuni akadondokea kichwa na kupasuka; alipata amnesia for two weeks. Walahi ndo mara yangu ya kwanza kushuudia mtu kupata amnesia. Niliongea nae kwenye video call akawa anikumbuki; yupo kwenye kipindi kigumu sana wana JF. Kikubwa kinachoniumiza ni hali yake ya afya haiko stable at all, anaumwa sana. Akila chochote anatapika. Kwa siku anaweza tapika mpaka mka loose count, zaidi ya mara 20.

Kusema kweli anateseka sana. Kila nikiongea nae swala la kuacha tu chuo na kurudi, ananiambia kaka angu nikiacha chuo nitakuwa mgeni wa nani huko Tanzania? Anasoma medicine and she is very very smart; she is among the top most student kwenye chuo chao but right now yupo tu around the streets of China ana tangatanga na bimkubwa kaishiwa options. Nimejaribu kufungua go fund me ili ku address hii issue, but naona inanishinda kidogo. Naombeni mnishauri wana JF. Tufanyeje?
 
Huko China mlimpeleka kwa fedha zipi?

Bimkubwa alikopa ela sehemu, na alimpeleka china because huku hakufanikiwa kupata nafasi kwenye medical college although alipata ufaulu wa Div 2 kwa PCB na ndoto zake zilikuwa kusomea udaktari na sio fani nyingine tofauti na ni kweli ana perform vizuri huko chuoni, ila tatizo now mambo yamebana sana kiuchumi
 
Kuanza upya sio ujinga, Mwambie arudi tu, Kulazimisha mambo sometimes sio kuzuri

ni kweli kaka tatizo nikileta hiyo idea yeye na bimkubwa nguvu zinawaisha, kuna siku bimkubwa alinipa jibu ambalo sikufurahia, alisema unataka na yeye aachie kati kama wewe, as if mimi nilipenda kuachia kati. Now wadogo zangu wote wapo in the same position I was pale UDSM 2015
 
Huyo mwingine wa tatu ndo the smartest among us all,,yupo UDSM pale anasoma BA in Economic,,anacheza na gpa za 4 and above,,,but na yeye anasoma kwa shida sana,,,tarehe 8 wanaanza UE,, na mpaka sasa hatujafanikiwa kulipa ada yake,,,na bila ya kulipa hawezi ingia kwenye UE
 
Pole sana mkuu, hamuwezi kumuona kiongozi yeyote wa serikali??kama ana perform vizuri na yuko katikati ya course wanaweza kukusaidia,inawezekana sio kitu wanachokifanya on daily basis,lakini case yako is different,wanaweza kuku consider....
 
Pole sana mkuu, hamuwezi kumuona kiongozi yeyote wa serikali??kama ana perform vizuri na yuko katikati ya course wanaweza kukusaidia,inawezekana sio kitu wanachokifanya on daily basis,lakini case yako is different,wanaweza kuku consider....

I wish ningekuwa na hiyo connection,,,but naanzia wapi jamani ,,ata sijui naanzaje kuwaokoa wadogo zangu,,,nisingependa na wao waishie kati,,itaniuma sana kiukweli maana wote tukikosa kuwa na professional,,nani atamsaidia mwenzake.

Mimi na mama tumejaribu kutumia njia nyingi sana kuwafikia viongozi na watu mashuhuri wa hapa nchini,,bila mafanikio yoyote...Mfano tulijaribu kwenda mpaka kisarawe kwa madam Jokate,,atleast akutane na mama ili ampe connection on the basis ya kwamba she is our fellow Loyolite,,,kwakumaanisha Jokate alisoma loyola,,na mimi na wadogo zangu wote tulisoma high school pale loyola,,na Loyolites tuna utamaduni wa kushikana mikono,,,but hatukufanikiwa kuonana na Madam
 
Nashindwa hata namna ya kuandika ushauri wangu. Naandika nafuta naandika nafuta.

Ila all in all, nachotaka kusema tuu ni kwamba msifosi mambo. Cha msingi hapo muambie dogo akaahirishe masomo kwa taratibu zinazotakiwa kisha arudi bongo kuja kujipanga upya.

Kingine, mwambie aongee na association ya wanafunzi wa tz walioko China ili waweze kumchangia pesa ya nauli na wampe hifadhi kwa siku chache wakati anajichanga kupata nauli.

Unforgetable
 
I wish ningekuwa na hiyo connection,,,but naanzia wapi jamani ,,ata sijui naanzaje kuwaokoa wadogo zangu,,,nisingependa na wao waishie kati,,itaniuma sana kiukweli maana wote tukikosa kuwa na professional,,nani atamsaidia mwenzake...Mimi na mama tumejaribu kutumia njia nyingi sana kuwafikia viongozi na watu mashuhuri wa hapa nchini,,bila mafanikio yoyote...Mfano tulijaribu kwenda mpaka kisarawe kwa madam Jokate,,atleast akutane na mama ili ampe connection on the basis ya kwamba she is our fellow Loyolite,,,kwakumaanisha Jokate alisoma loyola,,na mimi na wadogo zangu wote tulisoma high school pale loyola,,na Loyolites tuna utamaduni wa kushikana mikono,,,but hatukufanikiwa kuonana na Madam

Nadhani kuna utaratibu wa kuwaona hao viongozi wa juu, sikumbuki ila nadhani unahitaji, kupitia Sijui kwa mjumbe, serikali ya mtaa then mbunge wa jimbo lako, ukifanya tofauti na utaratibu unaweza usipate msaada, wana JF wataku direct proper channel, topic yako inaumiza I hope you get help ..:
 
Nashindwa hata namna ya kuandika ushauri wangu....... Naandika nafuta naandika nafuta.....

Ila all in all, nachotaka kusema tuu ni kwamba msifosi mambo. Cha msingi hapo muambie dogo akaahirishe masomo kwa taratibu zinazotakiwa kisha arudi bongo kuja kujipanga upya......

Kingine, mwambie aongee na association ya wanafunzi wa tz walioko China ili waweze kumchangia pesa ya nauli na wampe hifadhi kwa siku chache wakati anajichanga kupata nauli.

Unforgetable

Ilo swala la kurudi tangu yupo second year nilikuwa nalisuggest,,ila alikuwa haafilki,,,alikuwa ananiambia yupo teyari kupambana kumaliza hii course,,na kweli Mungu alikuwa anatoa wepesi wa kupata misaada na mikopo mpaka alipofikia hapa,,leo nimeongea nae anasema angepata atleast 4m ili alipe tuition fee,,angeruhusiwa kumalizia masomo yake,,then mwaka huu December aje bongo kwaajili ya rotations pale muhimbili...

Kuhusu association ya wa Tanzania kule china kwasasa ipo inactive kidogo cause wanafunzi wengi wa TZ wamerudi makwao,,wanasomea online due to Covid...So wale wanafunzi walio na uwezo wa ku afford online studies wamerudi makwao...Sisi kumlipia asomee online ingekuwa gharama zaidi tusingeweza..
 
Nadhani kuna utaratibu wa kuwaona hao viongozi wa juu, sikumbuki ila nadhani unahitaji, kupitia Sijui kwa mjumbe, serikali ya mtaa then mbunge wa jimbo lako, ukifanya tofauti na utaratibu unaweza usipate msaada, wana JF wataku direct proper channel, topic yako inaumiza I hope you get help ..:

Asante sana dada Rebeca,,,nitajaribu hiyo procedure pia
 
Pole sana mkuu, hamuwezi kumuona kiongozi yeyote wa serikali??kama ana perform vizuri na yuko katikati ya course wanaweza kukusaidia,inawezekana sio kitu wanachokifanya on daily basis,lakini case yako is different,wanaweza kuku consider....
Aisee pole sana. Kwa kuongezea hapa, vipi hawezi kufuata utaratibu wa kufika kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania nchini China, then aone kama anaweza kusaidiwa hilo hitaji lake, lakini vilevile ikishindikana bhas ubalozi ukaweza kumsaidia kumurudishi Tanzania, kwa sababu watu wenye matatizo ughaibuni ni wengi na kazi ya ubalozi ni kutoa msaada kwenye scenario kama hizo pia.
 
Aisee pole sana. Kwa kuongezea hapa, vipi hawezi kufuata utaratibu wa kufika kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania nchini China, then aone kama anaweza kusaidiwa hilo hitaji lake, lakini vilevile ikishindikana bhas ubalozi ukaweza kumsaidia kumurudishi Tanzania, kwa sababu watu wenye matatizo ughaibuni ni wengi na kazi ya ubalozi ni kutoa msaada kwenye snerio kama hizo pia.

Mkuu million sita Sio nyingi, sina hio hela ila tungeweza kumchangia mwenzetu hata kwa shilingi elfu kumi , kumi , au tumlipie akirudi na kuanza kazi arudishe. Mimi Naona huruma ingekua mwanzo wa kozi sawa kurudi sawa,ila umeshafika mbali kwenye course kurudi hapana kwa kweli
 
Mkuu million sita Sio nyingi, sina hio hela ila tungeweza kumchangia mwenzetu hata kwa shilingi elfu kumi , kumi , au tumlipie akirudi na kuanza kazi arudishe. Mimi Naona huruma ingekua mwanzo wa kozi sawa kurudi sawa,ila umeshafika mbali kwenye course kurudi hapana kwa kweli

Yani dada angu,,,ndani ya hizi siku tatu tangu nimepost hii habari,,mambo yamezidi kuwa mabaya sana,,,analala at the train station now,,,n she is sick,,,I’ll post some conversations humu na voice notes zake ili muone,,,na this was supposed to be her last semester yani,,by December awe amemaliza,,,aje kufanya rotation hospitali za hapa nyumbani...She has fought a big fight within these four years,,,baba yupo lakini he is an alcoholic,,,a big addict,,,hana habari kabisa na wanae,,,analewa mpaka wanamsachi,,,na tumesoma kwa shida sana hasa huyu aliepo china ndo kasoma kwa shida mno kuliko sisi wote,,,she has always been sick since advance,,,yani daaahhh.....naombeni nguvu ya umma inisaidie jamani....anyway possible please,,,ata kwa connection kwa mtu ambae anaweza kutusaidia mkopo,,will pay it back within this month...
 
Aisee pole sana. Kwa kuongezea hapa, vipi hawezi kufuata utaratibu wa kufika kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania nchini China, then aone kama anaweza kusaidiwa hilo hitaji lake, lakini vilevile ikishindikana bhas ubalozi ukaweza kumsaidia kumurudishi Tanzania, kwa sababu watu wenye matatizo ughaibuni ni wengi na kazi ya ubalozi ni kutoa msaada kwenye scenario kama hizo pia.

Ubalozi tumejaribu muda sana,,but wao wamesema they can only help her kama kapatwa na disaster mfano kavamiwa n raped,,or kawa deprived her human rights,,hapo ndo wateza msaidi,,na yeye kama yeye kwenda ubalozini hatoweze koz hana visa,,,kule ata ku board a train inabidi uwe na ID,,,kama foreigner inabidi uoneshe passport yako ikiwa na visa...so hawezi toka nje ya mji wake,,,koz atadakwa na kuwa deported,,akiwa deported that means all her four years of studies went to waste
 
Back
Top Bottom