Naomba msaada wenu, nimepanick

Naomba msaada wenu, nimepanick

Nenda hardware nunua bispis, koleo, kisu na panga pitia petrol station nunua petrol lita mbili, kiberiti, then mfuate incase kazingua utaangalia kinachomfaa kati ya hivyo au vyote kwa hatua au kwa mpigo.
 
Nenda hardware nunua bispis, koleo, kisu na panga pitia petrol station nunua petrol lita mbili, kiberiti, then mfuate incase kazingua utaangalia kinachomfaa kati ya hivyo au vyote kwa hatua au kwa mpigo.


HJajjaa nimesoma huku nacheka had machozi😅😅😅😂🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ushawai nitokea hii nilitoa hela baclays bank aiseee hela naisikia kabisa inahesabiwa alaf ghafla ikakata nikaambiwa connection down alaf ndio ilikuwa nauli kesho kipande ndege niondoke nilipagawa alaf kuangalia salio kwenye simu hela hakuna nilipagawa sikujua nianzie wapi alag bank ni ya nje ya nchi nilifanya tu kutumia visa card na sikupata hiyo hela Hadi leo niliamua kumshukuru mungu nikakopa Kwa wadau nikaamsha siku inayofuata.
ATM za Bongo ni nuksi. Mimi ilinikuta CRDB. Nimeweka kadi nitoe laki nne mashine ikachanga kama inahesabu. Halafu kimya. Nikiangalia salio naona fedha zimepungua. Nikapiga simu (namba zilizopo kwenye ATM) wakaniambia kama hazikutoka nisuburi huenda zikarudi. Kweli baada ya muda zikakuta salio limerudi kawaida. Ila mizwenge ya aina hii huwa inatokea sana kwenye ATM zao. Sijui zina hitalafu gani.
 
Jaribu kufuatilia kwa huyo wakala akikataa nenda makao makuu
 
Back
Top Bottom