Naomba msaada wenu, nimepanick

Naomba msaada wenu, nimepanick

Queenever1

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2019
Posts
422
Reaction score
815
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua kkoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa. Nikaondoka. Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu??? Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema😤
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua Kariakoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa nikaondoka.

Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu???

Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema😤
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua kkoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa. Nikaondoka. Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu??? Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema
Ngoja waje wakupe muongozo(in smart911 voice)
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua Kariakoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa nikaondoka.

Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu???

Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema😤
Mrudie wakala akiataa. Nenda kwa boss wake ( CRDB ) utapata haki yako.

CRDB ni BRAND kubwa hawawezi kujiharibia kwa pesa kidogo namna hiyo!
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua kkoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa. Nikaondoka. Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu??? Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema
Binadamu wenye roho ya utu bado wapo. Jaribu kufuatilia huko kkoo
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua kkoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa. Nikaondoka. Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu??? Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema
Aisee,,pole sana
 
Huyo wakala nenda kwake, una ushahidi wa meseji kuwa hela ilitoka mara mbili kwake, akikataa mwambie unaenda kumripoti kwenye tawi au hata polisi
Hilo linaeleweka labisa na linafahamika, hata wakala saa nyingine anaweza kukutumia hela mtandao ukagoma, akatuma tena ikakubali, baadae inakuja kumbe alituma mara mbili, ilishanitokeaga mimi nikarudisha hela
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua kkoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa. Nikaondoka. Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu??? Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema
Pole sana mm ilishawahi nikuta nilipiga simu bank nakweli taarifa za muamala kule ilionesha hela imetoka kwa account yangu mara 2 kwa huyo wakala na wakala akapigiwa simu akaambiwa kuwa kuna mtu ametoa hela kiasi fulani kwa account namba hiyo hiyo nikapewa pesa yangu.
 
Habari za usiku,,jamani nisaidieni nifanyaje. Juzi nilikua Kariakoo nikatoa Pesa kwa Crdb wakala, mtandao ulisumbua sana badae ikatoka akanipa nikaondoka.

Sasa Leo nafsi ikaniambia angalia salio,,naangalia nakuta ile Pesa niliyotoa ,,imetoka na nyingine kiasi kile kile ,,nikapanic kurudi kwenye msg zipo mbili zinaonesha hela ilitoka Mara mbili ( laki 2 ×2=400000/=) nimepanic sijui naanzia wapi ,,nataka kesho niende kwa Yule wakala je atakubali ndo kinachonipa headache ,,nifanyaje nipate Pesa yangu???

Mwenye wazo wapendwa,Ahsanteni. Nilikua na Mr alinizuia kabisa kutoa pesa kwa wakala kwa vile niliona ATM ziko mbali nikalazimisha,,sasa nahaha mwenyewe kitandani naogopa hata kusema
Wakala hatokupa hiyo hela hatokuamini ww inabidi uwenataarifa za Miamala yako kumbuka wakala anahudumia watu wengi sio ww tu ndio maana nakuambia hatokuamini kwa maelezo tu.
 
Mmmmmh hio bet ni ngumu, ila jaribu....
Ila kutoa hela k.koo nako ni maamuzi magumuu
Amna kwaeneo lile hata mm nikiwa naenda kununua vitu huwa naenda kutolea kulekule natoa kiasi nachotaka nanunua nilichokifuata naondoka naona nisalama zaidi kwangu.
 
Back
Top Bottom