Habari zenu wana jamii.
Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni jinsia Me nimekuwa nasumbuliwa na muwasho sehem za siri hasa kwenye uume na sehem za mapajani takriban wiki ya tatu sasa. Nilienda duka la madawa na kuelezea ugonjwa wangu, muuza duka akaniambia nitakuwa na fangasi hivyo akanipatia dozi ya vidonge vya fangasi pamoja na tube ya kupaka. Nimemaliza zile dawa pamoja na tube ya kupaka ila muwasho bado upo palepale. Yaan napojikuna ndo vinatoka Kama vipele flani vidogo. Kwenye uume vipele sio kiivyo ni Kama vitatu tu hivi ila haviwashi kunako washa ni sehem isiyo na hivyo vipele. Yaan nikianza kujikuna sitamani kuacha kwa raha ninayoipata. Naombeni msaada kwa anaeweza kujua hili tatizo.
Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni jinsia Me nimekuwa nasumbuliwa na muwasho sehem za siri hasa kwenye uume na sehem za mapajani takriban wiki ya tatu sasa. Nilienda duka la madawa na kuelezea ugonjwa wangu, muuza duka akaniambia nitakuwa na fangasi hivyo akanipatia dozi ya vidonge vya fangasi pamoja na tube ya kupaka. Nimemaliza zile dawa pamoja na tube ya kupaka ila muwasho bado upo palepale. Yaan napojikuna ndo vinatoka Kama vipele flani vidogo. Kwenye uume vipele sio kiivyo ni Kama vitatu tu hivi ila haviwashi kunako washa ni sehem isiyo na hivyo vipele. Yaan nikianza kujikuna sitamani kuacha kwa raha ninayoipata. Naombeni msaada kwa anaeweza kujua hili tatizo.