Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 584
- 1,267
Nilipata muwasho mkali sana mwilini nikapewa tubes za kupaka, cetrizine na predisolone ila bado hali haikubadilika.
Nikaenda nika pata vipimo vya full blood picture na uric acid. Bloodpicture ilikuwa iko poa sana ila Nikakautwa na uric aacid nyingi mno ya 17mgll. Doctor akasema uric acid hio ndio inayosababisha muwasho mkali huo.
So nikapewa dawa ya kutumia ikiwemo na za mwezi mzima. Leo ni siku ya 18 ila bado muwasho ni mkali na haswa mida ya usiku napata shida sana kuwashwa na kujikuna. Nawashwa sana maenep ya mapajani, kwenye pumbu, ubavuni na miguuni. Muwasho huu hauleti vipele vyovyote na kama vikitokea ni vidogo sanaaa.
Imebidi ninunue vidonge vya fabagentin na tube clobetasol baada ya kugoogle na kuona zinasaidia kwa watu wenye muwasho mkali sanaa ambao hautibiki kirahis ila leo ni siku ya nne nimetumia ila bado hali ni kali sana.
Najua bado sijamaliza dawa wakuu ila angalau kwa muda wote huu muwasho ungekuwa umepungua, so nisaidieni nifanye nini wakuu, nisubirie dozi iishe au kuna namna naweza pata medicatiln ya kunitoa katika muwasho mkali huu.
Nikaenda nika pata vipimo vya full blood picture na uric acid. Bloodpicture ilikuwa iko poa sana ila Nikakautwa na uric aacid nyingi mno ya 17mgll. Doctor akasema uric acid hio ndio inayosababisha muwasho mkali huo.
So nikapewa dawa ya kutumia ikiwemo na za mwezi mzima. Leo ni siku ya 18 ila bado muwasho ni mkali na haswa mida ya usiku napata shida sana kuwashwa na kujikuna. Nawashwa sana maenep ya mapajani, kwenye pumbu, ubavuni na miguuni. Muwasho huu hauleti vipele vyovyote na kama vikitokea ni vidogo sanaaa.
Imebidi ninunue vidonge vya fabagentin na tube clobetasol baada ya kugoogle na kuona zinasaidia kwa watu wenye muwasho mkali sanaa ambao hautibiki kirahis ila leo ni siku ya nne nimetumia ila bado hali ni kali sana.
Najua bado sijamaliza dawa wakuu ila angalau kwa muda wote huu muwasho ungekuwa umepungua, so nisaidieni nifanye nini wakuu, nisubirie dozi iishe au kuna namna naweza pata medicatiln ya kunitoa katika muwasho mkali huu.