Dawa ya muwasho

Love Doctor

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
726
786
Habari ndugu
Nasumbuliwa na muwasho mikononi, tumboni,mapajani,nyuma ya goti, sehemu za siri,makwapani na sehemu za viungio nilikuwa na mba nimetumia dawa ya mba mba umeisha ila bado muwasho upo nikijikuna sana hutokea vipele na baada ya muda hukauka na kupona
Sasa nikijikuna sana ngozi inatoa kama vumbi vumbi
Hata sehemu za siri huota pia na kupona ukijikuna huja tena kende kuwa gumu na kuota gamba
Nimebadili nguo mara kwa mara na kujitahidi kuwa msafi
Naomba msaada naweza kutumia dawa gani nikapona muwasho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom