Mahunda Jr
Member
- Apr 5, 2020
- 76
- 108
Habari,
Sina mengi ila naomba msaada wa referrals (marefa) wanaohitajika kwenye mchakato wa kuomba ajira mpya za serikal.
Kiufupi inaweza kufikirisha kwa baadhi ya watu humu ila kwangu nina maana kubwa.
Sina ndugu yeyote au mtu wa karibu ambae naweza kumuomba details zinazohitajika kwa refa, na ambae pia ni mwajiriwa na mwenye details hasa email.
Nipo morogoro mjini
Asante
Sina mengi ila naomba msaada wa referrals (marefa) wanaohitajika kwenye mchakato wa kuomba ajira mpya za serikal.
Kiufupi inaweza kufikirisha kwa baadhi ya watu humu ila kwangu nina maana kubwa.
Sina ndugu yeyote au mtu wa karibu ambae naweza kumuomba details zinazohitajika kwa refa, na ambae pia ni mwajiriwa na mwenye details hasa email.
Nipo morogoro mjini
Asante