Naomba Msaada wa Neno la Kiingereza

Naomba Msaada wa Neno la Kiingereza

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,270
Huku kwetu kilimanjaro na hata sehemu nyingi hapa nchini, kuna mmea ambao majani yake yanawasha sana.Ukiyagusa tu, utawashwa na kupata maumivu makali. Kwa kiswahili tunayaita washawasha.Mikoa ya kusini hiyo kitu ipo ila inaitwa
u.p.u.p.u Wataalamu naomba neno la kiingereza la washawasha/u-p-u-p-u
 
agave or yucca hii ni scientific name ya huo mmea uliousema
ila kwenye kundi la mimea isababishayo muwasho kwneye ngozi irritating plants ama wengine huziita ouchy plants cactus na yenyewe ipo
Dada gfsonwin, asante na hujambo? Hebu cheki vizuri notes zako za botany. agave ni mmea kwenye familia ya mkonge, na yucca ni muhogo kwa kispaniola.
 
Last edited by a moderator:
Huku kwetu kilimanjaro na hata sehemu nyingi hapa nchini, kuna mmea ambao majani yake yanawasha sana.Ukiyagusa tu, utawashwa na kupata maumivu makali. Kwa kiswahili tunayaita washawasha.Mikoa ya kusini hiyo kitu ipo ila inaitwa
u.p.u.p.u Wataalamu naomba neno la kiingereza la washawasha/u-p-u-p-u

itching itching!
 
Huku kwetu kilimanjaro na hata sehemu nyingi hapa nchini, kuna mmea ambao majani yake yanawasha sana.Ukiyagusa tu, utawashwa na kupata maumivu makali. Kwa kiswahili tunayaita washawasha.Mikoa ya kusini hiyo kitu ipo ila inaitwa
u.p.u.p.u Wataalamu naomba neno la kiingereza la washawasha/u-p-u-p-u

Kuna ----- ule unaotoa mbegu kama maharage (huwa unatambaa kwenye miti au ardhini) huo unaitwa BUFFALO BEANS au VELVET BEAN (Mucuna pruriens)
 
Dada gfsonwin, asante na hujambo? Hebu cheki vizuri notes zako za botany. agave ni mmea kwenye familia ya mkonge, na yucca ni muhogo kwa kispaniola.

ngoja kwanza nirudi inawezekana nimemix majina manake hapa kwenye taxonomy najijua siko mzuri kiivyo mara nyingi sana nilikuwa nalia lia kwa Selemani hebarium wa botany
 
....
Mucuna pruriens
is a tropical legume native to Africa and tropical Asia and widely naturalized and cultivated.[SUP][2][/SUP] Its English common names include velvet bean, Bengal velvet bean, Florida velvet bean, Mauritius velvet bean, Yokohama velvet bean, cowage, cowitch, lacuna bean, Lyon bean

Swahili U.pu.pu

250px-Mucuna-pruriens-fruit.jpg


cc SHIEKA
 
ngoja kwanza nirudi inawezekana nimemix majina manake hapa kwenye taxonomy najijua siko mzuri kiivyo mara nyingi sana nilikuwa nalia lia kwa Selemani hebarium wa botany

.....ha ha ha umenikumbusha Kew Garden !!!!
 
Huku kwetu kilimanjaro na hata sehemu nyingi hapa nchini, kuna mmea ambao majani yake yanawasha sana.Ukiyagusa tu, utawashwa na kupata maumivu makali. Kwa kiswahili tunayaita washawasha.Mikoa ya kusini hiyo kitu ipo ila inaitwa
u.p.u.p.u Wataalamu naomba neno la kiingereza la washawasha/u-p-u-p-u

....Kuna mwingine uko forest za Ngorongoro na Mbulu huo ni balaaaaaaaaaaaa !!!
 
....
Mucuna pruriens
is a tropical legume native to Africa and tropical Asia and widely naturalized and cultivated.[SUP][2][/SUP] Its English common names include velvet bean, Bengal velvet bean, Florida velvet bean, Mauritius velvet bean, Yokohama velvet bean, cowage, cowitch, lacuna bean, Lyon bean

Swahili U.pu.pu

250px-Mucuna-pruriens-fruit.jpg


cc SHIEKA
Asante Earthmover. Hiyo picha ya u.pu.pu umeipatia kweli.Nakumbuka kipindi
nasoma lindi kuna kipindi ukilala kitandani unawashwa kwelikweli.Nikaambiwa 'ni u.pu.pu njomba, unapeperushwa na upepo'
 
Last edited by a moderator:
Mjadala mzuri....keep it up..sasa kwa nini ni sababu gani inawasha..au ndiyo defense mechanism ya hiyo mimea.....??
 
Kuna ----- ule unaotoa mbegu kama maharage (huwa unatambaa kwenye miti au ardhini) huo unaitwa BUFFALO BEANS au VELVET BEAN (Mucuna pruriens)


Huo ndiyo ----- sasa, niliuona kwa mara ya kwanza kusini, ile aina ya pili isiyo na mbegu niliiona A town - Arumeru Magharibi hivi karibuni, hauna tofauti sana na mimea mingine ila unatambaa na una majani mapana hivi, ukicheza 'umeukoga'.
 
Mjadala mzuri....keep it up..sasa kwa nini ni sababu gani inawasha..au ndiyo defense mechanism ya hiyo mimea.....??
pakalolo, hilo la kwa nini mimea hii inawasha tuliache kwa sasa, labda kwenye mada ingine mpya.
 
Last edited by a moderator:
Huo ndiyo ----- sasa, niliuona kwa mara ya kwanza kusini, ile aina ya pili isiyo na mbegu niliiona A town - Arumeru Magharibi hivi karibuni, hauna tofauti sana na mimea mingine ila unatambaa na una majani mapana hivi, ukicheza 'umeukoga'.
Asante Kamuzu. Kutaja kwako arumeru magharibi kumeamsha kitu kwenye ubongo wangu na kunikumbusha kitu.Nimegoogle upya na kugundua neno la kiingereza la majani yanayowasha. Ni: stinging nettle!
 
Last edited by a moderator:
Asante Kamuzu. Kutaja kwako arumeru magharibi kumeamsha kitu kwenye ubongo wangu na kunikumbusha kitu.Nimegoogle upya na kugundua neno la kiingereza la majani yanayowasha. Ni: stinging nettle!

Ndiyo maana ya jukwaa huru, karibu tena.
 
Back
Top Bottom