KWI KWI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 286
- 84
JF,
Naomba ushauri,nahitaji kujenga nyumba ya bei nafuu(ya kawaida tu)Chumba,sebule,jiko,choo na store inanitosha kwasasa....nina kiwanja toangoma,wilaya ya temeke,Dar es salaam.
Nikitazama mfuko wangu naona nina kipato ambacho nikidogo.. nina kiji'bihashara kinachoniingizia pesa kidogo kidogo....nafikiria kuanza kujenga kutokana na hicho kipato .......maana mwenye nyumba anaomba kodi hata kabla ya kuisha mkataba....yani kero tu...natamani ningekuwa kwangu.
Asante ''in advance...''
Mr.KWI KWI
Naomba ushauri,nahitaji kujenga nyumba ya bei nafuu(ya kawaida tu)Chumba,sebule,jiko,choo na store inanitosha kwasasa....nina kiwanja toangoma,wilaya ya temeke,Dar es salaam.
Nikitazama mfuko wangu naona nina kipato ambacho nikidogo.. nina kiji'bihashara kinachoniingizia pesa kidogo kidogo....nafikiria kuanza kujenga kutokana na hicho kipato .......maana mwenye nyumba anaomba kodi hata kabla ya kuisha mkataba....yani kero tu...natamani ningekuwa kwangu.
Asante ''in advance...''
Mr.KWI KWI