Shanyangy
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 302
- 166
- Thread starter
- #41
Kwel nimejifunza asanteMkuu, There is no such thing as a FREE LUNCH.
Usihesabu ulichopoteza, hesabu ulichobakiza na ukae kitaalamu usiibiwe tena.
Mwanaume ni lazima upambane ndio upate riziki, ukiona unaletewa riziki mezani ujue kuna walakini na sio bure, lazima kuna namna utalipia.
Be a Man, Focus na legit issues za kutumia akili zako au nguvu zako.