jathurwa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 214
- 259
Jamani natumai mu wazima.
Niende moja kwa moja anayejua app nzuri ya kupata notes za primary tz English medium schools anisaidie.
NB: thl nimetumia ila imenishinda kitu kidogo so anaeweza nisaidia afanye hivo coz nina dogo hapa kila dei anazunguka tu afu big bro naweza msaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja anayejua app nzuri ya kupata notes za primary tz English medium schools anisaidie.
NB: thl nimetumia ila imenishinda kitu kidogo so anaeweza nisaidia afanye hivo coz nina dogo hapa kila dei anazunguka tu afu big bro naweza msaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app