Aongezee na kutotumia pilipili.Melodia,
Usitumie cream yoyote
Kunywa maji mengi,pata muda wa kupumzika/kulala,epuka vyakula vya mafuta mengi na osha uso/oga kabla hujalala kila siku (usilale ukiwa umepaka chochote usoni)
Mie huwa napata chunusi pia nikikasirika kasirika ama kuwa na stress so nafikiri nayo inaweza kuwa sababu
😆😆😆 Pole sana!
Kumbe nayo inasababisha?Aongezee na kutotumia pilipili.
Usikasirike kasirike, kasirik kawaida tu!Pole ya nini
Mbona sikasiriki kasiriki mara nyingi😂Usikasirike kasirike, kasirik kawaida tu!
👍👍Mbona sikasiriki kasiriki mara nyingi😂
Yes.Kumbe nayo inasababisha?
Juzi kati nimenusurika kuinunua. Nilistop baada ya kuona imeandikwa whitening skinHizo botuer hata usitumie, zinachubua.
Opt kutumia njia za asili zaidi. Lakini kumbuka mafuta ni hatua ya mwisho ktk kuitunza ngozi yako.
Mi mwenyewe niliingiaga mkumbo, daah nikashangaa nakuwa mweupe nikaitupilia mbali.Juzi kati nimenusurika kuinunua. Nilistop baada ya kuona imeandika whitening skin
Ila wadada wengi naona wanapaka wanang'aa hadi raha....hadi wamama watu wazima yaani wanapendezaaaaa ngozi nyororoo hadi mtu unatamaniInachubua aisee.
Jaribu kuangalia mlo wako unaokula kama unakula sana wanga na sukari pia vinachangia kuleta chunusi, kama hivyo ndivyo basi punguza au acha kabisa wanga na sukari kwa muda kunywa maji mengi na mazoezi angalau 30 minutes kwa siku halafu leta mrejesho.Habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.
Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba mwenye Tiba ya uhakika anisaidie.
Nimesikia La vista cream inasaidia na haichubui Kuna mwenye testimony na hili?
Asanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua upakeIla wadada wengi naona wanapaka wanang'aa hadi raha....hadi wamama watu wazima yaani wanapendezaaaaa ngozi nyororoo hadi mtu unatamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua upake
Au nimekosea jamani