Naomba msaada wa kuondoa madoa na chunusi usoni

Hizo botuer hata usitumie, zinachubua.
Opt kutumia njia za asili zaidi. Lakini kumbuka mafuta ni hatua ya mwisho ktk kuitunza ngozi yako.
 
Melodia,

Usitumie cream yoyote

Kunywa maji mengi,pata muda wa kupumzika/kulala,epuka vyakula vya mafuta mengi na osha uso/oga kabla hujalala kila siku (usilale ukiwa umepaka chochote usoni)

Mie huwa napata chunusi pia nikikasirika kasirika ama kuwa na stress so nafikiri nayo inaweza kuwa sababu
Aongezee na kutotumia pilipili.
 
Habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.


Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba mwenye Tiba ya uhakika anisaidie.

Nimesikia La vista cream inasaidia na haichubui Kuna mwenye testimony na hili?

Asanteni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuangalia mlo wako unaokula kama unakula sana wanga na sukari pia vinachangia kuleta chunusi, kama hivyo ndivyo basi punguza au acha kabisa wanga na sukari kwa muda kunywa maji mengi na mazoezi angalau 30 minutes kwa siku halafu leta mrejesho.

Pia kama unaweza kubadili mafuta ya kupikia kulingana na mazingira unamoishi basi tumia mafuta ya nazi, samli, au olive pia kwani mafuta ya mbegu yakitumika sana yanaweza kusababisha hiyo hali.
 
Mkuu una umri gani? hivyo vitu vinaendana na umri...ukishafika 30 Hakuna chunusi zitakusumbuwa,,,sasa utahangaika sana,,cha kukushauri TAFUTA SABUNI NZRI YA MEDICATED..na lotion ambayo sio strong,,,

Na usitumie cream yeyote,,,hyo cream ndy inakuletea chunusi...hakikisha usiku unaosha USO wako na SABUNI then usipake lotion yeyote...iwe unapaka lotion asubuhi tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom