kaka,milion 38?any way utakua umekosea.ada yako sh ngapi?
naomba nisaidie nina 2297500 ma cour ni lakinane so nina percntage ngapi;;;frm udom
naomba nisaidie nina 2297500 ma cour ni lakinane so nina percntage ngapi;;;frm udom
chalii yangu iyo ada yake n 1.5mil not 1.2 mil by thn una 85 prcnt
sorry guys ni vyema kwa anayefaham atujuze,kuna thread zingine wanasema hela ya field ni laki sita wengine sita na ishirini wengine tano ma sitini,hay hela ya books and material wengine wanasema laki mbili wengine laki mbili na sabini na tano,thats why tunashindwa kujua % zetu,kwa anaye fahamu atujuze tujipigie hesabu wenyewe itapunguza hizi thread zinazo jirudiaridia bila maana
ndugu zangu wanaJF, mm nimepata koz ye BSc in Petroleum Eng. At UDOM na nimepewa mkopo Tsh 3882500/=, na ADA YA KOZI NI 1200000 please ni sawa na %ngapi?
ww dogo acha ukilaza engineer gani hujui hesabu simple kama hyo
anyway,.....ni hivi
chukua pesa ya accomodation ambayo ni 2180000 na pesa ya field ambayo ni 620000 then jumlisha kisha toa pesa uliyopewa , pesa utakayopata iweke chini ya ada mara 100% utapata asilimia yako.....ambayo ni 90.21%
NB:nimewka hela ya field coz engineer 1st year wanaenda field
kaka samahan hivi b.com ina field kwa mwaka wa kwanza
ww dogo acha ukilaza engineer gani hujui hesabu simple kama hyo
anyway,.....ni hivi
chukua pesa ya accomodation ambayo ni 2180000 na pesa ya field ambayo ni 620000 then jumlisha kisha toa pesa uliyopewa , pesa utakayopata iweke chini ya ada mara 100% utapata asilimia yako.....ambayo ni 90.21%
NB:nimewka hela ya field coz engineer 1st year wanaenda field
Achen kudanganyana!!Petroleum Engineering 1st year ha2na field!!!thn toa meals ambyo n 1837500 bla accomodation coz acc. 2nalpa direct..pili toa stationary ambyo n 200000...thn itakayo baki ndo ada yako na kama imezd toa 1.5m utapata kias ambacho n kwa ajil ya special facult!!!nmepata rport toka kwa bro wangu ana¨¨fanyia loan bord