mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,447
mim ni mhitimu wa chuo flani tanzania, nilikutana na mtu ambae najua anapoishi pia mke wake ni rafiki wa mama angu. Nikamuomba anisaidie kupata nafasi ya kusomea pilot kwa uzamin wa serikari, lakini ni muda umepita kila siku hunitumia sms pesa flani inaitajika natoa. Nimetunza sms za pesa nilizo tuma na sms alizo nijibu. Mpaka inafikia huku naona miezi inazidi katika wala hajawai niita wala kuonananae ana kwa ana. Yeye ni pilot japo sina uhakika na kazi yake. Je kisheria ninaushahidi tosha endapo akawa tapeli wa kumshitaki mahakamani?