Naomba msaada wa Kisheria, Kampuni haijapeleka Mafao yangu NSSSF

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
Habari za asubui,

Wakuu wa jukwaa, naomba niwasilishe kwa ushauri au hatua zipi niweze kufata zidi ya hi campuni. Niliajiriwa kwenye campuni flani binafsi,mwaka 2018 mwezi wa kumi na moja, mwezi wa tano 2020 yanitokea matatizo nikasimamishwa kazi.hapo ndo tatizo langu linapo anzia.

Nimejaribu kufatilia mafao yangu NSSSF ila inaonekana kampuni haikuwai kuniwekea ili Hali ilikuwa inanikata kila mwezi, baada ya kuwasiliana na human resource wakaniwekea miezi mitano, kutoka mwezi wa kwanza Hadi wa tano,nimekuwa nikijaribu kufatilia kwa mienzi mitatu Sasa kuhusu kuniwekea pesa zangu, wanakuwa wananizungusha tu. Je, nifanyaje ili niweze kupata haki yangu? Je, kunachombo chochote naweza kufikisha malalamiko yangu kumshitaki muajiri?

Niatua gani nifate? Naitaji msaada wakuu.
 
Habari za asubui,

Wakuu wa jukwaa, naomba niwasilishe kwa ushauri au hatua zipi niweze kufata zidi ya hi campuni. Niliajiriwa kwenye campuni flani binafsi,mwaka 2018 mwezi wa kumi na moja, mwezi wa tano 2020 yanitokea matatizo nikasimamishwa kazi.hapo ndo tatizo langu linapo anzia.

Nimejaribu kufatilia mafao yangu NSSSF ila inaonekana kampuni haikuwai kuniwekea ili Hali ilikuwa inanikata kila mwezi, baada ya kuwasiliana na human resource wakaniwekea miezi mitano, kutoka mwezi wa kwanza Hadi wa tano,nimekuwa nikijaribu kufatilia kwa mienzi mitatu Sasa kuhusu kuniwekea pesa zangu, wanakuwa wananizungusha tu. Je, nifanyaje ili niweze kupata haki yangu? Je, kunachombo chochote naweza kufikisha malalamiko yangu kumshitaki muajiri?

Niatua gani nifate? Naitaji msaada wakuu.

aisee pole sana ila nitailezea kama ifuatavyo sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii marejeo ya 2018 ikiwa inamtaka mwajiri kulipa michango ya mfanyakazi kila mwezi kwa mfuko yani mfano mchango wa mwezi wa 5 unapelekwa mwezi wa 6

sasa suala la michango ya nssf lipo hivi nenda nssf pata statment itakayoonesha michango yako yote kuanzia 2018 mpaka 2020 sasa kama kuna miezi utaona haijaingizwa chukua form hapo nssf inaitwa adjustment form maana yake form ya marekebisho ya michango

Utaenda na adjustment form kwa muajiri atatakiwa kuijaza siku hiyo hiyo na kuirudisha ofisi za nssf ili waingize kwenye system ikumbukwe muajiri wako hana uwezo wa kusema nimeingiza michango au la yeye jukumu lake ni kulipa na kutunzs receipt za malipo

sasa nin kifanyike endapo hicho kitashindwa kutekelezeka utaenda ofisi za labour za wilaya uliyopo au mahakama ya kazi uliyopo karibu kwanini uende huko

utaenda kutoa maelezo ya kumuwekea mashaka muajiri wako kutopeleka michango yako kitu ambacho kikiwafikia nssf muajiri atatakiwa kupigwa penati ya asikimia 5% ya mchango wa kila mwezi

kwaiyo muajiri atalazimika kulipa malimbikizi yote hayo.

ukifika ofisi za nssf za karibu yako pitiliza kwa manager ujihakikishie kwanza je muajiri huwa analeta michango kila mwezi bila janja janja

cha mwisho hakikisha umepata form 4 kutoka nssf moja utapeleka bank na form 3 muajiri ndio azijaze kama uthibitisho wa ajira angalizo vitambulisho vyote vifanane majina uwe na akaunt bank mbili hizi nmb na crdb

Nikutakie kila la kheri
 
aisee pole sana ila nitailezea kama ifuatavyo sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii marejeo ya 2018 ikiwa inamtaka mwajiri kulipa michango ya mfanyakazi kila mwezi kwa mfuko yani mfano mchango wa mwezi wa 5 unapelekwa mwezi wa 6

sasa suala la michango ya nssf lipo hivi nenda nssf pata statment itakayoonesha michango yako yote kuanzia 2018 mpaka 2020 sasa kama kuna miezi utaona haijaingizwa chukua form hapo nssf inaitwa adjustment form maana yake form ya marekebisho ya michango

Utaenda na adjustment form kwa muajiri atatakiwa kuijaza siku hiyo hiyo na kuirudisha ofisi za nssf ili waingize kwenye system ikumbukwe muajiri wako hana uwezo wa kusema nimeingiza michango au la yeye jukumu lake ni kulipa na kutunzs receipt za malipo

sasa nin kifanyike endapo hicho kitashindwa kutekelezeka utaenda ofisi za labour za wilaya uliyopo au mahakama ya kazi uliyopo karibu kwanini uende huko

utaenda kutoa maelezo ya kumuwekea mashaka muajiri wako kutopeleka michango yako kitu ambacho kikiwafikia nssf muajiri atatakiwa kupigwa penati ya asikimia 5% ya mchango wa kila mwezi

kwaiyo muajiri atalazimika kulipa malimbikizi yote hayo.

ukifika ofisi za nssf za karibu yako pitiliza kwa manager ujihakikishie kwanza je muajiri huwa analeta michango kila mwezi bila janja janja

cha mwisho hakikisha umepata form 4 kutoka nssf moja utapeleka bank na form 3 muajiri ndio azijaze kama uthibitisho wa ajira angalizo vitambulisho vyote vifanane majina uwe na akaunt bank mbili hizi nmb na crdb

Nikutakie kila la kheri
Mkuu samahani.....nna swali kidogo,
Hizo form za adjustment ( marekebisho ya michango) ukimpelekea mwajiri akazijaza jukumu la kuzirudisha NSSF la kwangu mimi au mwajiri ndio anarudisha?
Ahsante
 
Kwa tafsiri yangu hasa mkazo wa upesi kamaanisha mwajiri ajaze akupe muda huo huo ukiacha jiandae na magumashi
 
Mkuu samahani.....nna swali kidogo,
Hizo form za adjustment ( marekebisho ya michango) ukimpelekea mwajiri akazijaza jukumu la kuzirudisha NSSF la kwangu mimi au mwajiri ndio anarudisha?
Ahsante
inabidi ajaze urudi nazo NSSF siku hiyo hiyo maana hizo form hata dk 20 nyingi kujaza sema tu waajiri wengi dah haya tuendelee cha mwisho kama HR unammudu jiongeze tu akurahisishie mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom