CHINOVA
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 212
- 87
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 Nimeoa na Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 4
Ninafanya kazi katika taasisi moja ya serikali nikiwa mtumishi was kada ya kawaida
Mwaka 2013 nilijinyima nikanunua kiwanja na kuanza kujenga mwaka mwaka 2015 nilioa make wangu akanituta nyumba hiyo nimeisha ipaua na kulikua kuna watu wanaishi mwaka 2017 nilianza mahusiano ya kimapenzi kwa siri na mwalimu mmoja
Ninafanya kazi katika taasisi moja ya serikali nikiwa mtumishi was kada ya kawaida
Mwaka 2013 nilijinyima nikanunua kiwanja na kuanza kujenga mwaka mwaka 2015 nilioa make wangu akanituta nyumba hiyo nimeisha ipaua na kulikua kuna watu wanaishi mwaka 2017 nilianza mahusiano ya kimapenzi kwa siri na mwalimu mmoja