baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 59
Wana jamvi tafadhali naomba mnipokee na shida yangu hii, nina ka office kangu na computer mbili, nataka kuwa nina share mafaili na siko na mtandao, je nawezaje kuziunganisha pc hizi 2 pamoja?, nahitaji kuwa na nini?, na je nikinunua ya tatu nayo naweza kuiunganisha?, natanguliza shukrani.