Naomba msaada wa haya kuhusu kutengeneza na kurusha kipindi cha runinga

mwenebhukabo

Member
Mar 2, 2014
24
11
Habarini wadau,
Nilikuwa na wazo langu la kuanzisha na kurusha kipindi cha burudani cha runinga.Nilifanikiwa kuvitengeneza vipindi vipatavyo sita.Bahati mbaya mtu nliemtegemea kama muongozaji wangu sipo nae kwa sasa kutokana sababu zilizo nje ya uwezo. Naomba kujua :
  • Ni taratibu zipi zinafuatwa kupata kituo cha kurusha kipindi.
  • Ni taratibu gani zinafuatwa kumpata mdhamini "sponsor"
  • Je kwa makadirio ya wenye uzoefu unapokua na kipindi kimoja kinakadiriwa kuleta faida ya shilingi ngapi?(ni kipindi cha dakika 20 kabla ya 10 za matangazo).
  • Kipi huwa kinaanza kabla ya chenzie katika utaratibu wa kukiweka hewani.
Ningependa kupata mawazo na tajriba (experience) toka kwa waliowahi kuyajua haya.Ntashukuru kwa maoni yenu.
 
Naomba nikujibu nusu nusu kwa kadri ninavyofahamu manake niko busy kidogo.
Taratibu za kupata kituo ni jukumu lako wewe mwenyewe kuangalia kipindi chako kina maudhui gani? Na hapo ndo utaangalia je stesheni gani itafaa zaidi kulingana na maudhui ya kipindi hiko?
Na je ni kipindi ambacho kimelenga wakati au muda gani? I mean kama ni cha asubuhi, mchana, jioni au usiku, na utagundua hivyo baada ya kuangalia wateja(watazamaji) wako hasa ni rika gani?
Sasa ukishayajua yote hayo hapo utakuwa umeshajua pa kuanzia kwamaana hiyo ukifika kwenye kituo cha TV hayo niliyoyaorodhesha hapo juu ndo utakayoulizwa.
Sasa kuna mawili utakubaliwa kwamaana hakuna kipindi chenye maudhui kama hayo hapo kwenye hiyo stesheni uliyokwenda, au utakataliwa kwamaana wataona kama kipindi chako hakitafanya vizuri kibiashara.
Nitaendelea..
 
Naomba nikujibu nusu nusu kwa kadri ninavyofahamu manake niko busy kidogo.
Taratibu za kupata kituo ni jukumu lako wewe mwenyewe kuangalia kipindi chako kina maudhui gani? Na hapo ndo utaangalia je stesheni gani itafaa zaidi kulingana na maudhui ya kipindi hiko?
Na je ni kipindi ambacho kimelenga wakati au muda gani? I mean kama ni cha asubuhi, mchana, jioni au usiku, na utagundua hivyo baada ya kuangalia wateja(watazamaji) wako hasa ni rika gani?
Sasa ukishayajua yote hayo hapo utakuwa umeshajua pa kuanzia kwamaana hiyo ukifika kwenye kituo cha TV hayo niliyoyaorodhesha hapo juu ndo utakayoulizwa.
Sasa kuna mawili utakubaliwa kwamaana hakuna kipindi chenye maudhui kama hayo hapo kwenye hiyo stesheni uliyokwenda, au utakataliwa kwamaana wataona kama kipindi chako hakitafanya vizuri kibiashara.
Nitaendelea..
Shukrani nmepata kitu hapo ndugu!!
 
Habarini wadau,
Nilikuwa na wazo langu la kuanzisha na kurusha kipindi cha burudani cha runinga.Nilifanikiwa kuvitengeneza vipindi vipatavyo sita.Bahati mbaya mtu nliemtegemea kama muongozaji wangu sipo nae kwa sasa kutokana sababu zilizo nje ya uwezo. Naomba kujua :
  • Ni taratibu zipi zinafuatwa kupata kituo cha kurusha kipindi.
  • Ni taratibu gani zinafuatwa kumpata mdhamini "sponsor"
  • Je kwa makadirio ya wenye uzoefu unapokua na kipindi kimoja kinakadiriwa kuleta faida ya shilingi ngapi?(ni kipindi cha dakika 20 kabla ya 10 za matangazo).
  • Kipi huwa kinaanza kabla ya chenzie katika utaratibu wa kukiweka hewani.
Ningependa kupata mawazo na tajriba (experience) toka kwa waliowahi kuyajua haya.Ntashukuru kwa maoni yenu.
Hongera ila jipange kuanza upya! Hicho ulichokiangaa huenda kikawa na resolution isiyoendana na TV broadcast. Nashauri umpate consultant ili aweze kukuelekeza. Vinginevyo jiunge chuo cha journalism upigwe msasa.
 
Mkuu pia uende kwenye kituo cha TV ambacho unatarajia kupeleka hicho kipindi ukapate muongozo
 
Back
Top Bottom