nemic4u
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 442
- 299
Jamani hebu tujaribu kukumbuka kuwa hata mwanaume naye akitoa nje ya ndoa analeta magonjwa na cio mwanamke tu mana wengine wameshupalia tu wanawake ndio wanaweza leta!
Back to the main topic we endelea tu kula raha mamito ucije kuta naye mzee wako kuna kabinti kanampeleka puta mbaya ila nawe cku nyingine ucipige kavu na kwa mzee uache kumpiga kipepsi uwe unampampa hata kwa wiki mara moja
Back to the main topic we endelea tu kula raha mamito ucije kuta naye mzee wako kuna kabinti kanampeleka puta mbaya ila nawe cku nyingine ucipige kavu na kwa mzee uache kumpiga kipepsi uwe unampampa hata kwa wiki mara moja