Kuna chuo nchini Uganda nimeomba kusajiriwa kwa masomo.
Nimetuma maombi nikatumiwa reference namba kwa ajili ya malipo, lakini nashindwa kulipa kwa kutumia hizo reference namba maana nimeeenda benki CRDB na NMB.
Nikawaelekeza wananiambia haiwezekani kulipia kwa kutumia hizo reference namba.
Naomba msaada nitumie njia gani kufanya malipo
Nimetuma maombi nikatumiwa reference namba kwa ajili ya malipo, lakini nashindwa kulipa kwa kutumia hizo reference namba maana nimeeenda benki CRDB na NMB.
Nikawaelekeza wananiambia haiwezekani kulipia kwa kutumia hizo reference namba.
Naomba msaada nitumie njia gani kufanya malipo