Naomba msaada QSAT 23 haioneshi SS3

Naomba msaada QSAT 23 haioneshi SS3

Olympus

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
2,818
Reaction score
689
fellaz mambo vipi mbona my qsat 23 aioneshi supersport 3,superspot 7 na 9 yan zile station za mpira.
 
fellaz mambo vipi mbona my qsat 23 aionesi supersport 3,superspot 7 na 9 yan zile station za mpira............-
  • Inaonyesha , Fanya hivi
  • Weka/fungua SNW ili kupata ss3
  • Na fungua S5N ili kupata ss5
KARIBU
 
QSAT Saivi imekua cheche sana hasa hii main account yake ya avatarcamhd, kwa sisi tusiopenda shida tunatumia account ya CCCAM ambayo iko stable sana kuliko avatarcamhd, Kama unataka account ya CCCAM ya miezi mitatu niandikie kwa email hii "mwarabu@rocketmail.com" tutaelekezana jinsi ya kuona chanels zote kwa kupitia CCCAM
 
QSAT Saivi imekua cheche sana hasa hii main account yake ya avatarcamhd, kwa sisi tusiopenda shida tunatumia account ya CCCAM ambayo iko stable sana kuliko avatarcamhd, Kama unataka account ya CCCAM ya miezi mitatu niandikie kwa email hii "mwarabu@rocketmail.com" tutaelekezana jinsi ya kuona chanels zote kwa kupitia CCCAM
 
vp kuna software mpya ya Qsat q11g haioneshi supersport zote

weka tv1 CCcam wewe
njia rahisi ya kuweka cline katika receiver yako ni kwa kutumia CCcam.cfg file ambalo kama unatumia dreambox unaweza kulichukua kutoka huko....
Kama hauna ukinunua CCcam kutoka kwa geek kama ntakupatia acc yako katika format ya CCcam.cfg file
Njia kuingiza acc hiyo soma hapa Njunwa Services – Dongle updates
 
Tayari nafaidi toka tar 16 kwa account ya CCcam
 
Back
Top Bottom