kwa sababu unauliza maswali ya kinanihiii.........
well....nenda kwa dentist.....utasafishwa na jino moja ni kati ya elfu 25,000 na 30,000.....meno 32x30,000=960,000/=
Ile kitu kwa kawaida ni pure gold jino lote kabsa. Inatokana na athari ya madini mengi ya chlorine kwenye maji aliyokunywa utotoni!
USHAURI: Kama vp nenda kwa dentist,muombe angoe yote kisha amwekee artificial dental formula!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.