Naomba msaada ndugu

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,495
3,458
hivi kama una demu wako meno ya dhahabu, namaanisha wale wa kanda ya kaskazini. Inawezekana kuweza safisha yakawa meupe?
 
hivi nyie jf mbona hamnipi ushauri? changieni bana nakakusugue hayo meno joo. ova
 
hivi nyie jf mbona hamnipi ushauri? changieni bana nakakusugue hayo meno joo. ova

kwa sababu unauliza maswali ya kinanihiii.........
well....nenda kwa dentist.....utasafishwa na jino moja ni kati ya elfu 25,000 na 30,000.....meno 32x30,000=960,000/=
 
hivi kama una demu wako meno ya dhahabu, namaanisha wale wa kanda ya kaskazini. Inawezekana kuweza safisha yakawa meupe?


Ile kitu kwa kawaida ni pure gold jino lote kabsa. Inatokana na athari ya madini mengi ya chlorine kwenye maji aliyokunywa utotoni!
USHAURI: Kama vp nenda kwa dentist,muombe angoe yote kisha amwekee artificial dental formula!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom