Naomba msaada ndugu zangu.

Jamaa alikua ni mtambo list yate hiyo, kama mb***** ingekua ni kifutio saizi kingekua kimekwisha kabisa
 
Kuna dada yangu amenijia kutaka ushauri,amegundua kuwa mume wake ametembea na rafiki zake wawili,house girl wake,wifi yake yaani mke wa kaka yake,mwanaume huyu katembea pia na dada zake wa kuzaliwa nae,wawili.majirani zao zaidi ya wanne.

pia inasemekana huko nyuma kabla hajamuoa huyu dada,alikuwa na mke mwingine,ambapo alitembea na mama mzazi na dada wa huyo mke,pia aliwahi kufanya mapenzi na kichaa.amejaribu kufanya hesabu wanawake waliozini ni mume wake ni zaid ya 200.

Na mume huyu amekiri mwenyewe kwa kinywa chake baada ya kufanyiwa maombi.sasa anaomba msamaha akidai kuwa kulikuwa na nguvu iliyokuwa inamsukuma kufanya mambo hayo.maana mbali ya kufanya mapenzi na watu wote hao,pia alikuwa na tabia ya kujichua kwa kutumia picha za wanawake aliokuwa akikutana nao njiani,au wale waliokuwa wanamkataa,ingawa anadai alikuwa hakataliwi akimtaka mwanamke.wamo wake za watu wengi tu.

Huyu dada ananiuliza je amsamehe?au afanyeje?maana analia na kusema alikuwa hajitambui.Nawaomba ndugu zangu,nisaidieani,nimshauri vipi?



Issue hii ni kubwa mno... Ushauri kwa huyu dada afuate moyo wake unavyotaka... Personally the guy is so Yesterday, ukiendekeza haya mambo atatembea sasa na mwanao mana ndo kilichobaki...
 
Mkuu hiki ni kisa cha ukweli au ni hadithi tuu....nimepatwa na mshtuko kwanza kusikia ametembea na dada wa kuzaliwa pamoja..mama mkwe...dah hii inatisha sana sio jambo la kawaida. Na je alikuwa na nguvu gani kuweza kuwashawishi hao watu bila wao kumkataa? vipi kuhusu afya yake? hajapata hata gonjwa la zinaa? achilia mbali gonjwa kuu. Hivi atakuwa sio mzima...pepo lake la ngono litakuwa sio la kawaida.
 
Ni neema mumeo kukiri na kuwa kiiumbe kipya. Wewe na jiba lako la roho ndiyo likuue kwa sababu umeshindwa kuoka. Kama hutaki kumsamehe funga kilicho chako ondoka mwache mlokole wa watu aponde raha ndani ya Yesu.

Dada wewe ukiambiwa ukiri hapa sasa hivi nafikiri no one can stand! mpe maisha yako Yesu.

May God bless you!
 
Binadamu hivi kusamehe na kusahau vinaenda pamoja ,kusamehe ni muhimu kwa afya ya moyo wake ,kusahau mtu ame f.a.c.k wote hao.anauwezo wa kusahau , kama atakuwa akimwona then anaona umalaya wake ,msamaha utakuwa cover tu sio uhalisia!
Sawa kabisa mkuu, kusamehe ni muim icpo kuwa tatizo ni kwny kusahau, ktk hali ya kawaida ni ki2 kisicho wezekana afu kutokusahau ni msaada wa kuchukulia matukio yaliopita kama riferens ili tusirudie makosa ya zamani. La muim hapa ni kuwa baada ya msamaa usitumie kosa la zamani kama bakora ya kumchapa msamehewa.
 
Mi sielewi, anataka amsamehe nini tena kama 'amekwishaombewa' na kukiri?
Yaishe, alikuwa na pepo na limeshatoka!

Yaani haamini kama ni kweli anaweza kubadilika kutokana na matendo aliyoyafanya.yuko njia panda.
 
Mkuu hiki ni kisa cha ukweli au ni hadithi tuu....nimepatwa na mshtuko kwanza kusikia ametembea na dada wa kuzaliwa pamoja..mama mkwe...dah hii inatisha sana sio jambo la kawaida. Na je alikuwa na nguvu gani kuweza kuwashawishi hao watu bila wao kumkataa? vipi kuhusu afya yake? hajapata hata gonjwa la zinaa? achilia mbali gonjwa kuu. Hivi atakuwa sio mzima...pepo lake la ngono litakuwa sio la kawaida.
Ahsante mkuu,ni kisa cha ukweli kabisa,sio hadith kaka,tena jamaa anasema hata yeye anahitaji ushauri,ati alikuwa hajitambui kabisa.
 
Ni kweli kabisa,ila inataka moyo,nadhani huyu dada nae anahitaji maombi ili aweze kusamehe,mambo mazito sana haya.
 
Hivi huyo mama mkwe anaenda kutembea na mkwe ni akili?Na hao dada za mke ah!,anyway,mwambie kuwa aamue mwenyewe kama amsamehe au la,mambo mengine mpaka kinyaa!

We acha tu,upande wa mama mkwe ndo usiseme kabisa,kwani huyo mama mkwe mwenyewe ni mke wa mchungaji wa kanisa moja la kilokole.Hapo anadai mama mkwe alimpigia cm,akamwita nyumbani kwake,akiwa amevaa kanga moja bila nguo ya ndani,baada ya kula tu,mchezo ukaishia kwenye sofa.Huwezi amini,ila ndo ukweli.
 
Mi nadhani a good idea ni kumsamehe na pia kuongeza maufundi
kunako tendo la ndoa ili jamaa asije pata nafasi ya kuwakumbuka
walokuwa wanampagawisha kipindi hicho maana shetani ana nguvu
zake bana asikwambie mtu. Unaweza jikuta unakiri mbele ya kadamnasi
kuwa hutorudia tena ila siku akikuvisit unastukia umerudia yale yale.
 
Aisee....maajabu ya dunia hii ni mengi kweli!Too bad kila tunalokosea tunamsingizia shetani wa watu na mapepo utadhani hua yanawashika watu mkono kuwapeleka kusiko!

Kuhusu kama amsamehe au lah inabidi uwe ni uamuzi binafsi bila uchochezi kutoka kwa mtu yeyote maana leo na kesho akija kutembea na mwanae lawama zisije zikamwendea aliyeshawishi msamaha utolewe!Dada afikirie ni kiasi gani anampenda mumewe...kama anamwamini kuhusu kubadilika na ni kwa kiasi ganu yuko tayari kukutana na mengine ya ajabu zaidi huko mbeleni ikiwa mume hajabadilika ndo ajue kama amsamehe na kuendelea nae au amsamehe na kusonga mbele!!
Pole yake!

Ni kweli kila kitu tunamsingizia shetani,wakati mwingine hata shetani huwa anashangaa dhambi tunazofanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom