Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,061
Na kusoma hatuachiTutapambana hivyo hivyo mpaka kieleweke.
Na kusoma hatuachiTutapambana hivyo hivyo mpaka kieleweke.
Duuuh!! Hii theory kiboko.
Haha huruma jamani. Kumbe kuna course za umalaya tunwavyoenda shule mweeh
Na sijui huo umalayawanafanya na akinanani? Sasa kama tunafanana why tulaumiane?
Hebu nisaidieni kushangaa kwa hii theory manake nikashindwa.
Eti kuna hili somo pia la umaRaya kwenye syllabus?!!..
I wonder oooooh
Hebu nisaidieni kushangaa kwa hii theory manake nikashindwa.
Eti kuna hili somo pia la umaRaya kwenye syllabus?!!..
Usimpotoshe msaidie tadadhaliUkimwacha mmeo na ukaamu kuja huku chuoni na mimi sitakubal lazima unizalie mtoto.
Itakuwa tunafanyanaNa sijui huo umalayawanafanya na akinanani? Sasa kama tunafanana why tulaumiane?
Mshirikishe Mungu kwa kuomba juu ya hilo naamini kwake hakitashindikana kitu utapata ruhusaHabari zenu wanajamvi,
Naomba ushauri kutoka kwenu,
Mimi ni binti wa early twenties na nina mchumba ambae mpaka kwa wazazi anajulikana na Mungu akipenda mwaka huu tutaoana.
Kilichonileta hapa ni hiki kuanzia mwaka Jana nilikua nataka nianze process nirudi shule nilipomshirikisha huyu mchumba kakataa kabisa tena kaenda mbali zaidi na kuniambia siku utakayokwenda shule kata mawasiliano na mimi.
Na mimi nimemwambia mbona inawezekana kwenda chuo na mambo yote yakaendelea kama kawaida lakini bado ameshikilia uzi huohuo wa mimi nisiende chuo.
Naombeni ushauri nisimamie wapi maana najikuta nawaza nashindwa kujua ni choose ni kitu gani.
Nb: Yeye amesoma
Maybe.Itakuwa tunafanyana
Na sijui huo umalayawanafanya na akinanani? Sasa kama tunafanana why tulaumiane?
I wonder oooooh
Itakuwa tunafanyana
Maybe.
Hehe, oh no you two didn't...lol!
Pointvyuoni mabinti wanavulika chupi kilaini sana..by the way mwanamke anavyozidi kusonga mbele kielimu na umalaya unaongezeka,,,