Naomba msaada maswali ya interview za polisi

Naomba msaada maswali ya interview za polisi

Mwambie dogo ajifanye hamnazo tu huko wanataka 0 IQ
20240831_144750.jpg
 
Jaribu ku google mbinu za utesaji raia, kubambika kesi na mambo kama hayo
 
nenda kafanye usaili wala usione aibu kusema ni wewe, mwisho wa siku kila mmoja anahitaji kupata mkate wake ukisikiliza watu wa humu unaweza hata kuwakataa jamaa zako kisa tu ni polisi.
 
Hapo itakuwa ni klabu yao.lakini hiyo ni mbaya sana maana anaweza kuanza kuwamiminia risasi pombe ikikolea.Hapo kavunja PGO
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Kesho kutwa Kuna interview ya polisi naomba mwenye uzoefu ili bwana mdogo akajaribu bahati yake.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.!
Fani ipi? Tayari interview kafeli sababu hujui hata polisi anaenda kufanya nini
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Kesho kutwa Kuna interview ya polisi naomba mwenye uzoefu ili bwana mdogo akajaribu bahati yake.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.!
Swali la kwanza polisi ni chama gani?
Swali la pili rungu upigwa sehemu gani ya kichwa cha mwanachadema?
Swali la 3 wapunzani utupwa msitu gani ?taja misitu mitatu ya kutupa wapinzani?
 
Kijana ulietokea familia za hali ya chini hakuna kuchagua kazi...piga kazi yoyote ile ww fanya interview zama polisi ukajitafute mbelembele
Binadamu hawaeleweki ukiwa huna kazi wanakuona huna spirit ya hustling halafu wanakuona falafala
Ukipata kazi wanaanza masengenyo mara kazi ya laana kazi ya kipuuzi wanaanza kujisemea wao hawawezi kufanya hiyo kazi...UBINADAMU KAZI SANAA
Nb;ukiwa na hekima utajua jinsi ya kuishi nao
 
Back
Top Bottom