Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Habari za majukumu wana jukwaa...
Naomba moja kwa moja niende kwenye mada naomba msaada maana laptop(HP COMPAQ)yangu inanisumbua inakataa kuunga Internet nimejaribu njia kadhaa inagoma.
Nikiingia kwenye connect nabofya haionyeshi kitu nimejaribu njia zote zinakataa.
Nategemea msaada maana natamani kuiuza kwasababu haijawahi kunisumbua kiasi hichi.
Naomba moja kwa moja niende kwenye mada naomba msaada maana laptop(HP COMPAQ)yangu inanisumbua inakataa kuunga Internet nimejaribu njia kadhaa inagoma.
Nikiingia kwenye connect nabofya haionyeshi kitu nimejaribu njia zote zinakataa.
Nategemea msaada maana natamani kuiuza kwasababu haijawahi kunisumbua kiasi hichi.