babu salu
Member
- Jan 5, 2020
- 27
- 12
mm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app