Naomba msaada kwenye hili la NSSF

babu salu

Member
Jan 5, 2020
27
12
mm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
mm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Aisee jaribu kuwacheki kwa simu yao Bure Huduma kwa Wateja 0800116773 utapewa Mwongozo hapo.
 
mm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nenda offisi ya nssf yoyote tafuta mtu wa compliance officerz wamkague mwajiri wako, yani atapigiwa hesabu tangu alipokuajiri mpaka sasa
 
mm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nenda offisini usipige simu kila mkoa na wilaya offisi za nssf zipo na zina wakaguzi wa kila eneo watakuja kumkagua mwajiri wako
 
Back
Top Bottom