Naomba msaada kwa watumiaji waliobobea kwenye iPhone

Naomba msaada kwa watumiaji waliobobea kwenye iPhone

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,913
Reaction score
67,434
Hellow guys,

Msaada kidogo; nataka niwe natumia iMassege tu, yaani mtu akitaka kunitumia text most awe na bando kama ana bando zisifike kwangu.

Anayejua ku-set, please.
 
Sio imassage
Ni iMessage.

Na sms yenyewe tu itaji automatic to iMessage kama hizo Iphone 2 zimekutana data iko on.
Na sometimes kwako inaweza toka kama iMessage na isifike kwa muhusika ‘kama yuko offline.
Mpk uanze kuituma as normal text
 
Sio imassage
Ni iMessage.

Na sms yenyewe tu itaji automatic to iMessage kama hizo Iphone 2 zimekutana data iko on.
Na sometimes kwako inaweza toka kama iMessage na isifike kwa muhusika ‘kama yuko offline.
Mpk uanze kuituma as normal text

Dah [emoji23] nielekeze bas
 
Hellow guys,

Msaada kidogo; nataka niwe natumia iMassege tu, yaani mtu akitaka kunitumia text most awe na bando kama ana bando zisifike kwangu.

Anayejua ku-set, please.

iMessage ni between iPhones tu. No other way out.
 
Dah [emoji23] nielekeze bas
Labda ujaribu kuzima hiyo
Ila madem zako wa Android utakosa sms zao 😁
Na washkaji
98CE3907-6E04-40A7-8D77-7A83EC7A07E6.jpeg
 
Back
Top Bottom