Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,939
- 67,457
- Thread starter
- #21
Kama Facetime...ugeni nao atazoea
Sio mara yangu ya kwaza kutumia iki kitu nilikuwa sikijui
Kama Facetime...ugeni nao atazoea
Nilivyo ona uzi nikajua ni watumiaji walio bobea kwenye pombe kumbe.
Sasa kama wana Android hawawezi pata li iMessage lako
Labda ujaribu kuzima hiyo
Ila madem zako wa Android utakosa sms zao [emoji16]
Na washkaji
View attachment 2481346
Mlango wa mbeleNaingilia wap
Mlango wa mbele
😄😄Acha basi shombo khaa
[emoji1][emoji1]
Khaa 😄Unanitaka? Basi nitongoze [emoji23][emoji23]
Afu utakuta uko na 6S Sasa hio Ni Kama zile za tecno ambayo mwenye tecno mwenzio ndo mnaweza chat au zile za Opera mwenye Opera ndo mnaeza chatHellow guys,
Msaada kidogo; nataka niwe natumia iMassege tu, yaani mtu akitaka kunitumia text most awe na bando kama ana bando zisifike kwangu.
Anayejua ku-set, please.
Afu utakuta uko na 6S Sasa hio Ni Kama zile za tecno ambayo mwenye tecno mwenzio ndo mnaweza chat au zile za Opera mwenye Opera ndo mnaeza chat
Khaa [emoji1]
We si nakuzaa kabisa huku nakimbia
Unazarau wewe fala wewe kama unapesa [emoji23]
Hela hapa ndo nyumbani kwake ila Leo sijala mchana najipa mazoezi yavitaUnazarau wewe fala wewe kama unapesa [emoji23]
Hela hapa ndo nyumbani kwake ila Leo sijala mchana najipa mazoezi yavita
Khaa [emoji1]
We si nakuzaa kabisa huku nakimbia
Nielekeze bs naingilia wap
Maulid Kitenge?Ndio sitaki shobo [emoji23][emoji23]kuna watu wananishobokea tangu nipate utu tu macho matatu
Maulid Kitenge?
Haha nimetamani sana mwendelezo wa ile stori mkuu 😄Mkuu mimi sipo sitaki kesi oh oh
Haha nimetamani sana mwendelezo wa ile stori mkuu [emoji1]