JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 470
- 597
Habari wakuu naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS. Nataka nijiunga na huduma hiyo. so natka kufahamu vigezo, Company nzuri zinazofanya pamoja na gharama zake. nitashukuru
Wacheki Data vision Ltd wenye MLIPA wanachaji 30 kwa kila message...utaratibu ni mpaka uwape Sender ID waitume TCRA kui verify kwa gharama ya 3000 then unaanza kutumia bulk sms.Habari wakuu naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS. Nataka nijiunga na huduma hiyo. so natka kufahamu vigezo, Company nzuri zinazofanya pamoja na gharama zake. nitashukuru
Shukrani ngoja niwachekiWacheki Data vision Ltd wenye MLIPA wanachaji 30 kwa kila message...utaratibu ni mpaka uwape Sender ID waitume TCRA kui verify kwa gharama ya 3000 then unaanza kutumia bulk sms.
Kuverify sender ID TCRA wanachukua si chini ya week 2
Imail yao https://www.google.com/url?sa=t&sou...4QFnoECA8QAQ&usg=AOvVaw2qovunUMBm3I48UXu2KPy1
Mcheki Huyu mtu 0754869302s
Shukrani ngoja niwacheki
SHUKRANI SANAMcheki Huyu mtu 0754869302
nashukuru sana nimewapata wako vizuri sanaMcheki Huyu mtu 0754869302
Pamojanashukuru sana nimewapata wako vizuri sana
ndio, ndioNatumae mleta mada umepata muongozo...
Waje watupe elimuNini hicho mbona wengine tumeachwa hewani
Kama hiziBulk sms ni messages ambazo Unatumia wewe mfanyabiaashara/kampuni kujitangaza au kuwatumia taarifa wateja wako..Unatumia mteja txts automatically au manually insyosomeka jina la kampuni
Kwa mfano hii txt chini...
Hizi bulk msg kampuni/mfanyabiashara anaweza kununua Kwenye makampuni yanayotoa hizo huduma na anapewa platform kuanza kuwatumia wateja
Huu mfumo ni mzuri kama unawateja wengi uwezi kuitumia Mteja mmoja mmoja txt..unaweza kutengeza kugroup la wateja wako flan ata 1000 ukawatumia txt moja wote automatically wakazopkea zikiwa na user ID ya kampuni yako