baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 60
Wanajamvi shida yangu ni kwamba modem yangu niliichakachua na kuifanya itumie laini zote na zaidi natumia Metfone 3g sofware kukonect. Na kwa bahati nzuri hii soft. ina call feature, ila tatizo ni kwamba nikitaka kupiga simu napata message hii 'NO DEaVICE, CAN NOT CALL', lakini ni kwamba drivers za sauti zimo ktk pc yangu. Nimejaribu kugugo nikakuta maelezo sikuyaelewa na yanaeleza kitu kama 'VoUSB Audio port ...., japo sikumbuki vizuri. Ndugu zangu naomba msaada kutoka kwenu ili niweze kusovu tatizo ili.